Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wakubwa, habari zenu!
Ninaomba kuuliza. Mimi nina mradi wa ujenzi wa nyumba. Nimekuwa nikijichangisha kidogo kidogo na pole pole ujenzi unaenda na utakamilika. Mpaka sasa, nimeshainua boma, nimepaua, nimefanya blundering na nimeshaweka madirisha ya grill.
Ninachoomba mnijulishe ni:-
(i) Ni hatua gani inayotakiwa kufuatwa? Naomba mnitajie hatua moja baada ya nyingine hadi kukamilika kwa nyumba.
Nawasilisha
Ninaomba kuuliza. Mimi nina mradi wa ujenzi wa nyumba. Nimekuwa nikijichangisha kidogo kidogo na pole pole ujenzi unaenda na utakamilika. Mpaka sasa, nimeshainua boma, nimepaua, nimefanya blundering na nimeshaweka madirisha ya grill.
Ninachoomba mnijulishe ni:-
(i) Ni hatua gani inayotakiwa kufuatwa? Naomba mnitajie hatua moja baada ya nyingine hadi kukamilika kwa nyumba.
Nawasilisha