Hatua za ujenzi wa nyumba

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2011
303
154
Wakubwa, habari zenu!

Ninaomba kuuliza. Mimi nina mradi wa ujenzi wa nyumba. Nimekuwa nikijichangisha kidogo kidogo na pole pole ujenzi unaenda na utakamilika. Mpaka sasa, nimeshainua boma, nimepaua, nimefanya blundering na nimeshaweka madirisha ya grill.

Ninachoomba mnijulishe ni:-

(i) Ni hatua gani inayotakiwa kufuatwa? Naomba mnitajie hatua moja baada ya nyingine hadi kukamilika kwa nyumba.

Nawasilisha
 
Jamv/floor rough,wiring,plasta,blundering,gypsum,tailiz,milango,vifaa vya umeme....mwisho kabisa rangi...kila la kher na hongera
Umekwenda vizuri mkuu ila natumia nondo zako kujazia, hapo kwenye wiring iende sambamba na mfumo wa maji ili lipu ikipigwa sio aje abomoe tena na kupitisha bomba kuingia ndani kama zile za maji, pia kufanya fitting za choo (kiana) hasa kama kile cha kuchuchumaa na kutoa zile bomba zake nje), vingine vipo okay though shitch inapendeza kama akaziweka mwishoni kabisa baada ya kupiga rangi huwa zinakaa vyema hasa hizi za kisasa zinazokuwa na cap ya kufunika screw ikiwezekana na shata za milango akzinunua lakini akafanya fitting mwishoni kabisa ili wa rangi atambae vizuri

Plaster iwe ya kawaida isiwe ile ya nilu (ukuta unateleza mpaka mjuzi anashindwa kupanda) maana rangi za siku hizi wenyewe wanafanya skimming kwa gypsum powder kisha ndio inapigwa rangi (ukuta ukipigwa lipu ya kawaida ile gypsum powder inakuwa inakaa vizuri ukutani vivyo hivyo nje napo rangi inafyonzwa vizuri kwa kuwa unapiga wheather guard au ile ya mchanga ile ya spain hivyo rabsha rabsha ya unyevunyevu unakuwa haufui dafu, hongera kwa hatua uliyofikia maana watanzania wengi tunaishi kwenye nyumba za Mbavu za Mbwa
 
Last edited by a moderator:
Umekwenda vizuri mkuu ila natumia nondo zako kujazia, hapo kwenye wiring iende sambamba na mfumo wa maji ili lipu ikipigwa sio aje abomoe tena na kupitisha bomba kuingia ndani kama zile za maji, pia kufanya fitting za choo (kiana) hasa kama kile cha kuchuchumaa na kutoa zile bomba zake nje), vingine vipo okay though shitch inapendeza kama akaziweka mwishoni kabisa baada ya kupiga rangi huwa zinakaa vyema hasa hizi za kisasa zinazokuwa na cap ya kufunika screw ikiwezekana na shata za milango akzinunua lakini akafanya fitting mwishoni kabisa ili wa rangi atambae vizuri

Plaster iwe ya kawaida isiwe ile ya nilu (ukuta unateleza mpaka mjuzi anashindwa kupanda) maana rangi za siku hizi wenyewe wanafanya skimming kwa gypsum powder kisha ndio inapigwa rangi (ukuta ukipigwa lipu ya kawaida ile gypsum powder inakuwa inakaa vizuri ukutani vivyo hivyo nje napo rangi inafyonzwa vizuri kwa kuwa unapiga wheather guard au ile ya mchanga ile ya spain hivyo rabsha rabsha ya unyevunyevu unakuwa haufui dafu, hongera kwa hatua uliyofikia maana watanzania wengi tunaishi kwenye nyumba za Mbavu za Mbwa
We jamaa ni mtaalam hasa...shukrani..
 
Last edited by a moderator:
We jamaa ni mtaalam hasa...shukrani..
Si mtaalamu ila nina practical experience maana na mie nipo hatua mbele kidogo ya huyo jamaa yaani rangi ndani tayari ndio nikaweka switch ila shata za milango bado najikongoja na kwa jinsi nilivyoona zimekaa safi nikaona nimpe madini based on uzoefu

Kwa ujenzi wetu wa kimasikini inatakiwa uwe makini kweli ili ukitoa kitu kitoke safi ndio maana hutakiwi kuruka step na hata kama unahamia finishing unaifanya huku upo ndani vivyo hivyo hakikisha usikurupuke maana ni heri ufanye finishing ya ukweli chumba kimoja kimoja kwa miaka mitatu nyumba ikakamilika na kuwa bomba kuliko kufanya finishing ili mradi, ukiwa huna hela alafu unakaa nyumba inavutia kuna raha yake na ndio maana kwa sie wazee wa kudunduliza inabidi twende kwa step na kufanya consultation kwa waliotutangulia
 
Umekwenda vizuri mkuu ila natumia nondo zako kujazia, hapo kwenye wiring iende sambamba na mfumo wa maji ili lipu ikipigwa sio aje abomoe tena na kupitisha bomba kuingia ndani kama zile za maji, pia kufanya fitting za choo (kiana) hasa kama kile cha kuchuchumaa na kutoa zile bomba zake nje), vingine vipo okay though shitch inapendeza kama akaziweka mwishoni kabisa baada ya kupiga rangi huwa zinakaa vyema hasa hizi za kisasa zinazokuwa na cap ya kufunika screw ikiwezekana na shata za milango akzinunua lakini akafanya fitting mwishoni kabisa ili wa rangi atambae vizuri

Plaster iwe ya kawaida isiwe ile ya nilu (ukuta unateleza mpaka mjuzi anashindwa kupanda) maana rangi za siku hizi wenyewe wanafanya skimming kwa gypsum powder kisha ndio inapigwa rangi (ukuta ukipigwa lipu ya kawaida ile gypsum powder inakuwa inakaa vizuri ukutani vivyo hivyo nje napo rangi inafyonzwa vizuri kwa kuwa unapiga wheather guard au ile ya mchanga ile ya spain hivyo rabsha rabsha ya unyevunyevu unakuwa haufui dafu, hongera kwa hatua uliyofikia maana watanzania wengi tunaishi kwenye nyumba za Mbavu za Mbwa
Asante sana mkuu kwa ushauri wako
 
Last edited by a moderator:
Si mtaalamu ila nina practical experience maana na mie nipo hatua mbele kidogo ya huyo jamaa yaani rangi ndani tayari ndio nikaweka switch ila shata za milango bado najikongoja na kwa jinsi nilivyoona zimekaa safi nikaona nimpe madini based on uzoefu

Kwa ujenzi wetu wa kimasikini inatakiwa uwe makini kweli ili ukitoa kitu kitoke safi ndio maana hutakiwi kuruka step na hata kama unahamia finishing unaifanya huku upo ndani vivyo hivyo hakikisha usikurupuke maana ni heri ufanye finishing ya ukweli chumba kimoja kimoja kwa miaka mitatu nyumba ikakamilika na kuwa bomba kuliko kufanya finishing ili mradi, ukiwa huna hela alafu unakaa nyumba inavutia kuna raha yake na ndio maana kwa sie wazee wa kudunduliza inabidi twende kwa step na kufanya consultation kwa waliotutangulia
Ulichokisema ni sahihi kabisa na kweli
 
Madini ya stages nimeyakubali upo vizuri mzee, naongezea kidogo kuwa ni vyema pia kufanya reseach kidogo unapokuwa kwenye ujenzi ukiona nyumba za wenzio zinavutia may be design au materials zilizotumika unapata new ideas sio unajenga kwa mawazo yako tu baada ya muda kidogo nyumba yako inakuwa old fasheni just kwa kuwa ulitumia vifaa vya kizamani..
 
Wewe jamaa unachekesha ,yaani umefanya hatua zote hizo hadi kukamilisha boma ila hujui hatuazinazofuata, 😆 😆 😂:p hii kali aise,au usikute hata boma huna
 
Back
Top Bottom