Fuata utaratibu uliopo kwenye mkataba. Au hamna mkataba?[/QU hata mimi nimeshndwa kuelewa kwa sababu kama mkataba upo tumia kanuni zilizopo ndani ya mkataba ili kumuondoa hata hivyo hatua ya kwanza nenda kwa balozi wa eneo lako/lenu kupeleka mashtaka kabla hujashka mali ya mpangaji.
Fuata utaratibu uliopo kwenye mkataba. Au hamna mkataba?
Fuata utaratibu uliopo kwenye mkataba. Au hamna mkataba?[/QU hata mimi nimeshndwa kuelewa kwa sababu kama mkataba upo tumia kanuni zilizopo ndani ya mkataba ili kumuondoa hata hivyo hatua ya kwanza nenda kwa balozi wa eneo lako/lenu kupeleka mashtaka kabla hujashka mali ya mpangaji.
Kama mkataba uliisha mpe notice ya mwezi mmoja na baada ya mwezi kuisha unaweza kumtoa kutoka kwenye nyumba. Hii ni kwa sababu muda wa kulipa kodi ni mwezi mwezi. Pia umfungulie kesi kwa ajili ya recover rent.
Serikali ya mtaa walipaswa wakupe barua ya kwenda Polisi ili waje wamtoe, RUDI HUKO SERIAKLI YA MTAA WAKUPE BARUA UENDE POLISI ILI WAJE HAPO WAMTOE
NILIISHAFANYIWA HIVYO SIKU MOJA NA NIKAFANIKIWA
Acha ubahiri. Nenda kwa wakili aliye karibu nawe akuandalie namna bora ya kudai haki zako ikiwa ni pamoja na haki ya kupata nyumba yako. It is high time watanzania muachane na hii biashara ya kupitia kwa wajumbe wa nyumba kumikumi ambao si wataalamu wa sheria. Huku JF kuna mawakili wa kutosha ambao kwa gharama ndogo sana watakusaidia kudai haki yako kitaalamu zaidi. Pia siku nyingine ukipangisha nenda kaingie mkataba kwa wakili ili akuandalie mkataba utakaotoa taratibu za kumtoa mpangaji. Ukiwa na nyumba usifanye maisha yako yawe cheap. Seek quality service.
Notice inategemea na mkataba unasemaje, kama mkataba upo kimya sheria ya Ardhi sura ya 113 inataja kuwa notice inaweza kuwa sawa na kipindi cha ulipaji wa kodi mfano mwezi mmoja kama kodi huwa inalipwa kwa mwezi mwezi.Sheria inasema kwamba ukitaka kusitisha mkataba wa makzi na tenant inabidi umempe info @lst miezi 2 so unachotakiwa kufanya ni kumpa notice ya miezi miwili then kwa madeni yako kama hatoweza ufanye mpango wa kuzuie fenicha tv na axesories zenye thaman na deni lako ukimtimua gafla itakula kwako!