Umofia kwenu wajumbe
Akihutubia wanajumuiya na wageni mbalimbali katika chuo kikuu cha Dsm kampasi ya Mlimani katika uzinduzi wa mabweni mapya ya wanafunzi,
Rais Dr.Magufuli amesema ameamua kuteua balozi na kurudisha mahusiano na Taifa la Israel, binafsi nampongeza Mh.Rais kwa hatua hiyo licha ya kusema kuwa anajua kuna watu ambao hawajapendezwa na maamuzi hayo na kwamba tayari ujumbe wa watalii wengi kutoka Israeli wameanza kuitembelea Tanzania kuja kujionea vivutio mbalimbali hvyo kutupatia fedha za kigeni.
Kuna watu fulanifulani wanachuki za kijinga juu ya Israel nawashauri waache.
Akihutubia wanajumuiya na wageni mbalimbali katika chuo kikuu cha Dsm kampasi ya Mlimani katika uzinduzi wa mabweni mapya ya wanafunzi,
Rais Dr.Magufuli amesema ameamua kuteua balozi na kurudisha mahusiano na Taifa la Israel, binafsi nampongeza Mh.Rais kwa hatua hiyo licha ya kusema kuwa anajua kuna watu ambao hawajapendezwa na maamuzi hayo na kwamba tayari ujumbe wa watalii wengi kutoka Israeli wameanza kuitembelea Tanzania kuja kujionea vivutio mbalimbali hvyo kutupatia fedha za kigeni.
Kuna watu fulanifulani wanachuki za kijinga juu ya Israel nawashauri waache.