mchongameno
Member
- Feb 9, 2012
- 26
- 16
Wana jamvi Je Necta kufuta mitihani ya kidato cha nne kwa baadhi ya Wanafunzi na kuwafungia wasifanye mitihani kwa miaka minne ni halali? Je nini chanzo cha kuwafutia Mitihani? Je kama tatizo ni kuvuja kwa Mitihani kosa ni la nani? Nini kifanyike kuwasaidia hawa waliofutiwa mitihani? Je tuishauri vipi Serikali ili haya yasijirudie?