Hatua ya necta kufuta mitihani

mchongameno

Member
Feb 9, 2012
26
16
Wana jamvi Je Necta kufuta mitihani ya kidato cha nne kwa baadhi ya Wanafunzi na kuwafungia wasifanye mitihani kwa miaka minne ni halali? Je nini chanzo cha kuwafutia Mitihani? Je kama tatizo ni kuvuja kwa Mitihani kosa ni la nani? Nini kifanyike kuwasaidia hawa waliofutiwa mitihani? Je tuishauri vipi Serikali ili haya yasijirudie?
 
Tatizo liko kwao watendaji waserikali kwani huwezi kupata mtihani bila kumconsult mtu husika hivyo serikali na necta wajitazame upya na inapotokea udanganyifu katika mitihan inabid mtahiniwa atafutwe na kuhojiwa majibu au hiyo mitihan aliipata wapi,hii itasaidia kuwapata wanaovujisha mitihan
 
Wana jamvi Je Necta kufuta mitihani ya kidato cha nne kwa baadhi ya Wanafunzi na kuwafungia wasifanye mitihani kwa miaka minne ni halali? Je nini chanzo cha kuwafutia Mitihani? Je kama tatizo ni kuvuja kwa Mitihani kosa ni la nani? Nini kifanyike kuwasaidia hawa waliofutiwa mitihani? Je tuishauri vipi Serikali ili haya yasijirudie?

Anayekutwa na ngozi ndiye mwizi. Sasa hapo Serikali na NECTA wanahusikaje???

Kazi rahisi hapo ni kushughulika na hao masharobaro ambao hawataki kusoma. Kutwa ni Facebook.
 
Wana jamvi Je Necta kufuta mitihani ya kidato cha nne kwa baadhi ya Wanafunzi na kuwafungia wasifanye mitihani kwa miaka minne ni halali? Je nini chanzo cha kuwafutia Mitihani? Je kama tatizo ni kuvuja kwa Mitihani kosa ni la nani? Nini kifanyike kuwasaidia hawa waliofutiwa mitihani? Je tuishauri vipi Serikali ili haya yasijirudie?

Ushauri ni kuwalipa hela nzuri wahusika wakuu ktk ulinzi na uandaaji wa mitihani hiyo ili wasidanganyike kiraisi ktk kuivujisha mitihani yao hiyo
 
Tatizo liko kwao watendaji waserikali kwani huwezi kupata mtihani bila kumconsult mtu husika hivyo serikali na necta wajitazame upya na inapotokea udanganyifu katika mitihan inabid mtahiniwa atafutwe na kuhojiwa majibu au hiyo mitihan aliipata wapi,hii itasaidia kuwapata wanaovujisha mitihan

Ila kwa serikali yetu imeshindwa kufanya mambo kama hayo ili kuwabaini wausika wakuu na si kwenye elimu tu bali ata kwenye kupambana madawa ya kulevya?
 
Anayekutwa na ngozi ndiye mwizi. Sasa hapo Serikali na NECTA wanahusikaje???

Kazi rahisi hapo ni kushughulika na hao masharobaro ambao hawataki kusoma. Kutwa ni Facebook.

Wakifanya hivyo hawatakuwa wanakabiliana na matatizo bali watakuwa natengeneza bomu tena la nuclear si mnajua kazi yake likilipuka
 
Back
Top Bottom