asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,756
Mnaenda kwa wafanya mapenzi na sio WAPENZI...Ndo mana mnalipishwa.Mnasemaga tu hivyo lakini mwisho wa Siku wallet ya kueleweka ndio mpango Mzima
Mnaenda kwa wafanya mapenzi na sio WAPENZI...Ndo mana mnalipishwa.Mnasemaga tu hivyo lakini mwisho wa Siku wallet ya kueleweka ndio mpango Mzima
Nimekuelewa sana, sema watu kama wewe sijawahi kutana nao.sijui wako wapi!!?Hici pesa na mapenzi vinahusiana VIPI??...UNAJUA MANA YA KUPENDANA, Nyie mnaenda tafuta MAPENZI (Kufanyana) ndo mana PESA NI KIGEZO, Ushawahi kupendwa wewe?? Mwanamke akikupenda yeye ndio kila siku unaweza mkuta nakununuliwa zawadi na mara nyingi mnakuwa mnapanga mambo kwa pamoja kama anakupenda, KAMA MTU HANA FUTURE NA WEWE, Na umemtongoza anakwambia nina mtu ila unalazimisha na wakati wakulamizisha unatumia silaha ya pesa jua kwa huyo mwanamke utakuwa kitega uchumi hakuna asiependa pesa, HATA WANAUME WANALELEWA NAKUPEWA PESA.

Ha ha sasa kama hana uhakika ata wa chai na vitumbua atakupendea nin.? U handsome hauliwi ujue. Kama hakuna hela mapenzi ni magumu acha kabisa. Ndo maana nimesema waleti inahusikamwanamke anaekupenda kiukweli hajali hata hiyo wallet, ukiona unapendwa kwa ajili ya wallet jua mmepangwa 10, mana kila mwanaume anayo wallet lol
GTHaya mambo hayana formula una weza ukawa mcheshi kama joti na ukashndwa kueleweka tu.
Kuna mwingine hataki umuite jina ana taka baby, sweetie na mbwembwe nyingii
Cha msingi ni mtu mwenyewe akubaliane na hali yako.
Ahsante lakini mada nzuri hiyo

katika Mapenzi hakuna linaloshindikana kuna wanaume wanakutwa na wanawake wako hohe hahe, wanawake wanaamua kuwa na wale wanaume kuwatafutia kazi au shughuli ya kufanya na maisha yakaenda, Ila sema baadhi ya wanaume hawana shukrani maisha yakishakaa sawa najisahau nani amemtoa anaanza mambo ya totozi, ila WANAWAKE WAKIMPENDA MTU HATA KAMA NI CHOKORAA ATAMUWEKA VILE ANAVYOTAKA NA KUMPENDA,.....Ndio nikakwambia Kuna tofauti ya kupendwa na kupendwa hiyo wallet...HAO WANAOPENDA WALLET Tayari wanao wanaowapenda bila hata ya senti na hizo zinatoka kwa bwana mwengine apelelewa mwengin.Ha ha sasa kama hana uhakika ata wa chai na vitumbua atakupendea nin.? U handsome hauliwi ujue. Kama hakuna hela mapenzi ni magumu acha kabisa. Ndo maana nimesema waleti inahusika
katika Mapenzi hakuna linaloshindikana kuna wanaume wanakutwa na wanawake wako hohe hahe, wanawake wanaamua kuwa na wale wanaume kuwatafutia kazi au shughuli ya kufanya na maisha yakaenda, Ila sema baadhi ya wanaume hawana shukrani maisha yakishakaa sawa najisahau nani amemtoa anaanza mambo ya totozi, ila WANAWAKE WAKIMPENDA MTU HATA KAMA NI CHOKORAA ATAMUWEKA VILE ANAVYOTAKA NA KUMPENDA,.....Ndio nikakwambia Kuna tofauti ya kupendwa na kupendwa hiyo wallet...HAO WANAOPENDA WALLET Tayari wanao wanaowapenda bila hata ya senti na hizo zinatoka kwa bwana mwengine apelelewa mwengin.
hahhaaahii ya kudance unaweza kujikuta umekuwa moze iyobo
hahhaaahii ya kudance unaweza kujikuta umekuwa moze iyobo
Pesa silaha,bastola mzigo.Haya mambo hayana formula una weza ukawa mcheshi kama joti na ukashndwa kueleweka tu.
Kuna mwingine hataki umuite jina ana taka baby, sweetie na mbwembwe nyingii
Cha msingi ni mtu mwenyewe akubaliane na hali yako.
Ahsante lakini mada nzuri hiyo
Asmaa yani umenchekesha kweli kweli kwa jinsi ulivyotoa huo msamiati KUFANYANA,yaani kweli weye una mambo kinoma.Hici pesa na mapenzi vinahusiana VIPI??...UNAJUA MANA YA KUPENDANA, Nyie mnaenda tafuta MAPENZI (Kufanyana) ndo mana PESA NI KIGEZO, Ushawahi kupendwa wewe?? Mwanamke akikupenda yeye ndio kila siku unaweza mkuta nakununuliwa zawadi na mara nyingi mnakuwa mnapanga mambo kwa pamoja kama anakupenda, KAMA MTU HANA FUTURE NA WEWE, Na umemtongoza anakwambia nina mtu ila unalazimisha na wakati wakulamizisha unatumia silaha ya pesa jua kwa huyo mwanamke utakuwa kitega uchumi hakuna asiependa pesa, HATA WANAUME WANALELEWA NAKUPEWA PESA.
yaani tunapangwa kama 10 basi haya we naye umezidi makali.mwanamke anaekupenda kiukweli hajali hata hiyo wallet, ukiona unapendwa kwa ajili ya wallet jua mmepangwa 10, mana kila mwanaume anayo wallet lol