Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
!
!
hizo hatua hazikuhakikishii matokeo chanya. Hatua ambazo ni lazima azuzuke ni kama ifuatavyo... Nimezipanga kuanzia ya kwanza hadi ya sita.
#1. Nenda Kaoge Kisha Vaa Nguo Safi.
#2. Chukua Wallet yako weka mfukoni...hakikisha ina ATM
#3. Chukua Usafiri fika kwenye ATM iliyo karibu.
#4. Toa kisi kikubwa cha pesa
#5. Nenda Kakutane nae kisha umpe
#6. Asipozuzuka rudia hatua #4 na hatua #5.
!
hizo hatua hazikuhakikishii matokeo chanya. Hatua ambazo ni lazima azuzuke ni kama ifuatavyo... Nimezipanga kuanzia ya kwanza hadi ya sita.
#1. Nenda Kaoge Kisha Vaa Nguo Safi.
#2. Chukua Wallet yako weka mfukoni...hakikisha ina ATM
#3. Chukua Usafiri fika kwenye ATM iliyo karibu.
#4. Toa kisi kikubwa cha pesa
#5. Nenda Kakutane nae kisha umpe
#6. Asipozuzuka rudia hatua #4 na hatua #5.