You took her granted 🤣Huyu ni mwanadamu mmoja tukianza mahusiano late 2015 hakua na mbambamba, she gave everything and everytime alikua na uwezo wa kusafiri kunifuata nilipo tunapokumbukana that was so sweet kiukweli.
Sibembelezi kidude boss mbususu zipo nyingi sana ninachojiuliza kwanini abane miguu bila sababu za msingi.mwanamke anayekunyima mbususu huyo kuna sehemu anatoa tena bure! ww utakuwa humvutii na amekuweka kwenye chupa usifurukute! miaka 8 unabembeleza kidude mwe
Nishaongea nae sana sababu anazotoa hazijitoshelezi 😀😀 nikamwambia najua Kuna jamaa anakula kimasihara anakataa kataa kata😀Ongea nae vizuri labda ana shida mahala sio kawaida kwa mwanamke atumie hela zako afu asikupe penzi.Hata akowa kahaba kiwango cha PhD huwa wanaogopa jasho LA MTU-na mwishowe huwa anaamua kutoa.
Kaona unamzeesha halafu hueleweki, mwanangu wa Kwanza ana 8 years,umri ulokaa ukimchakaza 😅😅,kumbuka wanawake tunawahi kuage,Kama uko serious muoe mfanye maisha pamoja rasmi.Kazi iende na dawa hata pesa iende na huduma unayopokea.
Huyu ni mwanadada mmoja tulianza mahusiano late 2015 hakua na mbambamba, she gave everything and everytime alikua na uwezo wa kusafiri kunifuata nilipo tunapokumbukana that was so sweet kiukweli.
Sasa mambo yalianza kubadilika mapema 2019 mbususu hatoi, Kwa sababu zisizo za msingi yaani mtu anaamua tu kubana miguu.
Ila kwenye suala la kuomba pesa anadai kama wale jamaa wa branch au tala🤣
Nikakomaa mwaka mzima ukapita bila bila no sex no Nini 😱😱 basi ikabidi taratibu nianze kujiengua pili nianze kusitisha zile huduma zote hasa pesa mpaka Sasa sijapata mbususu yake huyu parasite toka 2019 na tunawasiliana kama kawaida ila si kama zamani.
Huyu ni katika wanawake nilimpenda sana nae alinipenda zaidi ila bila mbususu hayo mahusiano ni batili nawasilisha.
Ni kwikwi aiseeh 😅akaoge bahariniToka 2015 mpaka leo hajaolewa? Hili lao wakalitazame
Boss ni ups and down tumepitia kwanini akose subira by the way hata mimi sijaoa kwani sizeeki?Kaona unamzeesha halafu hueleweki, mwanangu wa Kwanza ana 8 years,umri ulokaa ukimchakaza 😅😅,kumbuka wanawake tunawahi kuage,Kama uko serious muoe mfanye maisha pamoja rasmi.
Boss ni ups and down tumepitia kwanini akose subira by the way hata mimi sijaoa kwani sizeeki?