George Smiley
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 471
- 267
hivi kuna mtu anajua matokeo ya uchunguzi wa tuhuma alizotolewa na ripoti iko wapi?>
hivi kuna mtu anajua matokeo ya uchunguzi wa tuhuma alizotolewa na ripoti iko wapi?>
hivi kuna mtu anajua matokeo ya uchunguzi wa tuhuma alizotolewa na ripoti iko wapi?>
Uchunguzi na ripoti gani mkuu? Umesahau kama huyu bibi ni Board Member wa WAMA? Ndio imetoka hiyo ikirudi pancha.hivi kuna mtu anajua matokeo ya uchunguzi wa tuhuma alizotolewa na ripoti iko wapi?>
Uchunguzi unaendelea, tusubiri tu....
hivi kuna mtu anajua matokeo ya uchunguzi wa tuhuma alizotolewa na ripoti iko wapi?>
Tunavuta muda astaafu, kila kitu kimeisha. Luhanjo alikuwa mjomba wake wa damu (sio wa ukoo) unadhani hapo kuna kitu. Tumuache apumzike kama Mkapa anavyopumzika.
By the way sat habari za siku nyingi.
Ni nzuri kabisa!!!!!!!!!!!
ukiwa ccm hata ukiua ufuatwe unaweza kukuta kuna mahali amepewa ukurugenzi...au amepewa kazi ya kuandaa chochote cha mabilioni...yaani wana jf katika vitu ambavyo sivipendi kuliko vyote ni chama cha mapinduzi...yaani niko tayari kuambukizwa ukimwi lakini c kujiunga au kuvaa nguo au chochote cha kuashiria ccm kweli kabisa
Tanzania ni nchi yenye kila kitu isipokuwa watanzania
Hapo tutangoja milele,wachunguzi wenyewe wanatakiwa kuchunguzwa.
Blandina Nyoni na Jairo wanakula mishahara ya bure hadi muda wa kustaafu ukifika wataenda kuchukui mafao wapumzike salama![/QUO
Kikwete ni janga la Taifa wananchi.Hata kwenye standing orders inazungumzia muda wa kufanya uchunguzi, kumsimamisha mtumishi anapokuwa na tuhuma ni miezi sita tu maximum.Sasa kwa Kiwetw ambaye ndiye mwenye mamlaka ya utumishi wao Jairo,Nyoni, Mtesiwa amekaa kimya tu fedha za serikali na utendaji zikipotea.
Lakini pia Bunge letu na Spika wake ni dhaifu sana, kwa hapa ni wazi lina weza kumwajibisha Kikwete na Serikali kwa kushindwa kutekeleza maazimio ya Bunge
Tanzania ni nchi yenye kila kitu isipokuwa watanzania