Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,937
Routine Spirit- Roho Nyemelezi Makosa ya Baba na Laana ya Baba yako inaanza kukufuata na soon utaifuata kwa kusingizia Mapenzi.... Pole yako hivi vitu kweli vinarithi ukoo wa kwanza hadi Uzao wa Nne wa ukoo husikaNi miaka 12 sasa tangu tulipokutana kwa mara ya kwanza,baada ya urafiki wa miaka 3 nikaamua kumueleza hisia zangu,,akasema mambo ya mapenzi mpaka tumalize shule kwa sasa tuendelee kuwa marafiki tu, kwa sababu alikuwa kila kitu kwangu nilikubali alichokisema na urafiki ukaendelea,kwetu pakawa kwao na kwao pakawa kwetu kila aliyetujua hakuuamini urafiki wetu kuwa ni wa kawaida tu.Miaka ikapita hatimaye tukamaliza kidato cha 6 na hapo tukaanza rasmi mahusiano yetu.Nilikiwa mwanaume wa kwanza kwake,na hapo ndipo aliponikamata kabisa kwani ata pale nilipokuwa najipoza wakati naendelea kumsubiri huyu nikaachana napo,amebaki peke yake.Msichana wa kwanza kumpenda na natamani awe wa mwisho.
Baada ya miaka yote hiyo lile tatizo ambalo mwanzoni tuliliona la kawaida limekuwa kubwa.Dini inaenda kututenganisha,niliona ni rahisi kwangu kubadili dini sababu nimekuwa kwenye misingi ya dini yake kwa muda mrefu,(shule pia ilichangia kwani nimesoma boarding katika shule za dini tangu primary adi advance) lakini kila nikikumbuka mzee alivyotengwa na familia yake baada ya kubadili dini kisa bi mkubwa na huu ugomvi uliotokea siku ya kifo chake akili yangu inagoma kabisa.Sijui natokaje hapa..
Asante kwa ushauri wako lakini siwezi kufanya hilo kosaKuna mtu anaefungisha ndoa zilizoshindikana ana cheo cha 'DC' hakuna cha biblia wala qur an mtashika katiba ya Nchi.
Kuna wakati naliwaza hili lakini nilishafunga na kutubia sana kuhusu baadhi ya makosa ambayo aliyafanya mzee na yanaoneakana kujirudia kwenye familiaRoutine Spirit- Roho Nyemelezi Makosa ya Baba na Laana ya Baba yako inaanza kukufuata na soon utaifuata kwa kusingizia Mapenzi.... Pole yako hivi vitu kweli vinarithi ukoo wa kwanza hadi Uzao wa Nne wa ukoo husika
Aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nishabadilisha hadi kabila,baada ya kule nilipotaka kuoa kusema hawatupendi wamasai!
Wakigoma kumzika si watanukiwa wenyewe na mzoga??Muoe bana.........kwani ukiwa hiyo dini yake kuna nini....ukikufwa umekufwa......wenye hasara ni hao wanaokuzika.........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na kweli...akifa ameshakufa tu...Muoe bana.........kwani ukiwa hiyo dini yake kuna nini....ukikufwa umekufwa......wenye hasara ni hao wanaokuzika.........
mpaka hapo nshajua dini yakoTatizo ndugu japo bi mkubwa anasema ananisupport kwa lolote nitakaloamua lakini wajomba wanagoma na sisi watu wa Pwani mjomba ana sauti kubwa
Ndio hivyo Mkuu!Aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakigoma kumzika si watanukiwa wenyewe na mzoga??
Mwanamke hana dini?? Hebu kuwa Mwanaume Mkatoliki halafu kaoe Muisilamu au Mlokole!Mkuu mbona binafs sion mahal patakapo leta shida ukisema we ni mwisilam na yeye ni RC au kinyume chake?
Nb.mwanaume kubadili dini kwenda ya mwanamke ni tatizo,mwanamke ndio wanasema hana dini so mwambie aje kwenye dini yako..ukipofuka mapema kwenye mapenz utaumia baadae kijana
Ila na wewe sikiliza moyo wako unavyosema mm nmechangia kama wengine!
Hahaaa. Mwanaume kubadili dini kumfuata mwanamke kuna walakini. Binafsi nilishindwa kubadili dhehebu kumfuata my first fiancee tukaachana, mpaka leo ananililiaHawa wanaume wa sasa wengi wao maamuzi yao wanayajua wenyewe wanashindwa kusimama kama mwanaume yani,
Hahaaa kwani umasai ni rangi kusema utaikwangua upake nyingine?Mi nishabadilisha hadi kabila,baada ya kule nilipotaka kuoa kusema hawatupendi wamasai!