Hatimaye Yamenikuta

Routine Spirit- Roho Nyemelezi Makosa ya Baba na Laana ya Baba yako inaanza kukufuata na soon utaifuata kwa kusingizia Mapenzi.... Pole yako hivi vitu kweli vinarithi ukoo wa kwanza hadi Uzao wa Nne wa ukoo husika
 
Huyo demu ni mkristo ila wewe muislamu, acha na hizo mambo demu ndiye anabadili dini kwa kumfuata mwanaume.
 
maisha ndio yatakavyokua ivyo hope ushaelewa
 

Attachments

  • 2015_11$largeimg113_Nov_2015_232755047.jpg
    21.7 KB · Views: 37
Ukishindwa kuamua sasa wewe kama wewe hata ndani ya ndoa itakuwa jipu,uliona na ulijua, moyo wako upo wapi? Upendo ni pamoja na sadaka,sometime you need to sacrifice something to get something na better kuwa mkweli mapema kuliko ukamdanganya bi dada wa watu akauvaa mkenge baadaye huwa Majuto tu.
 
Kuna mtu anaefungisha ndoa zilizoshindikana ana cheo cha 'DC' hakuna cha biblia wala qur an mtashika katiba ya Nchi.
Asante kwa ushauri wako lakini siwezi kufanya hilo kosa
 
Routine Spirit- Roho Nyemelezi Makosa ya Baba na Laana ya Baba yako inaanza kukufuata na soon utaifuata kwa kusingizia Mapenzi.... Pole yako hivi vitu kweli vinarithi ukoo wa kwanza hadi Uzao wa Nne wa ukoo husika
Kuna wakati naliwaza hili lakini nilishafunga na kutubia sana kuhusu baadhi ya makosa ambayo aliyafanya mzee na yanaoneakana kujirudia kwenye familia
 
Muoe bana.........kwani ukiwa hiyo dini yake kuna nini....ukikufwa umekufwa......wenye hasara ni hao wanaokuzika.........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na kweli...akifa ameshakufa tu...
 
Mwanamke hana dini?? Hebu kuwa Mwanaume Mkatoliki halafu kaoe Muisilamu au Mlokole!
 
Kuwa maelezo yako huna dini ndani ya moyo wako. Hiyo dini uliyoivaa achana nayo ili uoe alau upate heri duniani mbingu/pepo waachie wenyewe.
 
Hawa wanaume wa sasa wengi wao maamuzi yao wanayajua wenyewe wanashindwa kusimama kama mwanaume yani,
Hahaaa. Mwanaume kubadili dini kumfuata mwanamke kuna walakini. Binafsi nilishindwa kubadili dhehebu kumfuata my first fiancee tukaachana, mpaka leo ananililia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…