Hatimaye Waziri Mkuu Majaliwa, apiga marufuku mifuko ya Plastiki

1079682



WAZIRI wa Nchi, Osi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba amesisitiza kuwa zuio la mifuko ya plastiki, litakuwa la kisheria na hivyo hakutakuwa na msalie mtume. Akizungumza Dar es Salaam jana, January alisisitiza kuwa marufuku ya mifuko hiyo, lengo lake ni kulinda afya za wananchi na mazingira.

“Madhara yanayotokana na matumizi ya mifuko hiyo ni makubwa sana na hivyo si rahisi kwa mtu kuona katika hali ya kawaida,” alisema. Aliongeza kuwa wizara yao, itahakikisha zuio hilo linafanikiwa bila vikwazo na kwamba wananchi wataendelea kuelimishwa.

“Katika kukabiliana na zuio hili, changamoto ni nyingi ikiwemo kutokuwa na ufahamu mpana wa wananchi juu ya athari zake, lakini tumejipanga kuhakikisha linafanikiwa na hatua muhimu zaidi ni kutoa elimu kwa wananchi,” alisisitiza. Aliongeza, “Katazo la kitu kama hiki halikosi vikwazo, kelele na hata vitisho kutoka kwa watumiaji na wazalishaji. Hivyo tumejipanga kukabiliana na yote hayo.

” Alisisitiza kuwa elimu ya kutosha, itatolewa kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na njia mbadala zitaanza kutumika wakati wa kipindi cha zuio. “Tumejipanga kiasi cha kutosha juu ya namna ya kukabiliana na changamoto zitakazojitokeza na jambo muhimu sana ni ushirikiano kwa kuwa mazingira ni suala muhimu kwa kizazi cha leo na kesho; hivyo ni jukumu la kila mwananchi kuyalinda,” alisema January.
 
Hata hivyo kama taifa tumechelewa sana ardhi yetu imejaa mifuko ya plastik hasa Dar es Salaam. Kinachofuatia iwe ni kuikusanya iliyotumika na kutafuta namna sahihi ya kuiteketeza
 
Tunatofautiana wenzetu hawajazuia mifuko ya plastic wana mbadala wa matumizi yake.Tukiandaa Sera tunaweza iga wenzetu technology imekuwa sana huwezi kuta taka za plastic zikizagaa uzitumia Kama malighafi kuzalisha mafuta dizeli na petrol, vigae vya kuezeka,tiles,pavers,Mbao za kujengea, matofali,nyumba, lami,fenicha za ndani,nk.Kwa kutumia taka za plastic,Mchanga na Rangi unapata vifuatavo
 

Attachments

  • Screenshot_2019-04-16-18-02-32.png
    Screenshot_2019-04-16-18-02-32.png
    562.2 KB · Views: 22
  • FB_IMG_1555999488599.jpg
    FB_IMG_1555999488599.jpg
    64.7 KB · Views: 20
  • Screenshot_2019-04-16-17-59-40.png
    Screenshot_2019-04-16-17-59-40.png
    714.9 KB · Views: 20
  • Screenshot_2019-04-16-17-57-11.png
    Screenshot_2019-04-16-17-57-11.png
    681.6 KB · Views: 21
  • Screenshot_2019-04-16-08-32-13.png
    Screenshot_2019-04-16-08-32-13.png
    436.7 KB · Views: 20
1. Do local communities knows much on the effects of plastics bags on the Environment?

2. What are efforts being made by the Tanzanian Givenment to assess the peoples awareness on these impacts?

The big number of local people especially those in villages do not know the negative impacts of these plastic carrier bags to the environment,
Most of the people consider them as just litters with no any problem
But in reality these things pose a very big threat to both aquatic and terrestrial organisms

As their understanding is low, they just burn them and emit toxic gases that harm the atmospere and increase the level of VOCs in the air.

It has been estimated that one bag has the potential to unintentionally kill one animal(both sea and terrestrial) per every three months due to digestion and inhallation problems posed by left plastic bag on the environment

#Saynotoplasticcarrierbags#
#Letsconserveourbiodiversity#
 
Those people in villages they don't understand the language used here.....How come they will understand the effects of plastics bags
 
Those people in villages they don't understand the language used here.....How come they will understand the effects of plastics bags
Not true, kua kijijini haimanishi hujui Kugha ya kiingereza,

Kazi kwetu sis tunaolewa ligha kuwaelewesha kwa lugha mama yan Kiswahili

Research nyingi hufanya kwa kiingereza but inavyokwenda kupresent kwa jamii unatumia lugha inayoeleweka kwa jamii husika
 
Viwanda vitafungwa na ajira zitakufa ,we need to think twice
Hii pia ni fursa pia kwa wawekezaji kubadili teknolojia zao za uzalishaji ili kuendana na mabadiliko haya
Envirinmental sustainability will lead to sustainable development

Tunza mazingira yakutunze

Environmental destruction ina impact kubwa sana kwenye maendeleo endelevu

Letsgogreen
Use green technlogy
 
Wewe unataka ije iwadodee ili waje kujipiga risasi kama yule mfanya biashara wa pombe za viroba kule Dodoma
Mkuu unapotoa kauli in reference na mtu fulan tena unampicture sio vyema tumia kaakili hakahaka tulikonako wote kupambanua kabla hujacomment yule nae ana watu ie. Watoto,marafiki na jamaa wengineo ni angalizo tu huijui future ya kiwanja chako cha ugali.
 
Mkuu unapotoa kauli in reference na mtu fulan tena unampicture sio vyema tumia kaakili hakahaka tulikonako wote kupambanua kabla hujacomment yule nae ana watu ie. Watoto,marafiki na jamaa wengineo ni angalizo tu huijui future ya kiwanja chako cha ugali.
Noted
 
 
Back
Top Bottom