Waziri wa Nchi ofisi ya rais na utawala mbovu, Mathias Chikawe amedhibitisha wazi kuwa viongozi wetu ni wezi na waongo wakubwa. Chanzo, Raia Mwema tarehe 8, Dec
Kwani viongozi wakitaja mali si wanaorodhesha, wanaweka ndani ya bahasha na kukabidhi tume ya maadili. Sasa waziri huyu amezifungua na kugundua kuwa hawajataja zote? Hii nayo ni propaganda za kujitangaza tuu!!!!
Waziri wa Nchi ofisi ya rais na utawala mbovu, Mathias Chikawe amedhibitisha wazi kuwa viongozi wetu ni wezi na waongo wakubwa. Chanzo, Raia Mwema tarehe 8, Dec
Ingekuwa na maana sana kama angetaja kwa namna ifuatayo; Lakini
SN JINA CHEO ALICHOWAHI KUIBA MWAKA
1. EL XXX DOWANS/EPA/ etc 1990 to date
2. RA XXXX As above As above
3. BWM Alikuwa rais As above plus kiwira Kipindi chote cha urais
4.