vicenttemu
Member
- Nov 16, 2010
- 43
- 0
Waziri wa Nchi ofisi ya rais na utawala mbovu, Mathias Chikawe amedhibitisha wazi kuwa viongozi wetu ni wezi na waongo wakubwa. Chanzo, Raia Mwema tarehe 8, Dec
Yeye hajajitaja ila ni kwamba wanataja mali za uongo kwa mujibu wake. Naikubali coz hata Six alisema hili hasa wamiliki watatu wa Dowans.
Ndiyo halisi anaijua lakini miaka yote 5 kama Minister mbona alikaa kimya bila kutafuta sheria inayodhibiti ni MANENO TU huyo
Waziri wa Nchi ofisi ya rais na utawala mbovu, Mathias Chikawe amedhibitisha wazi kuwa viongozi wetu ni wezi na waongo wakubwa. Chanzo, Raia Mwema tarehe 8, Dec