voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
- Thread starter
- #201
Unasomwa kwenye makanisa ndiyo!Waraka gani unasomwa kwenye makanisa tu baada ya misa ? huu ni udini , wala hauna kupepesa macho
Kwa sababu ni waraka kutoka kwenye kanisa husika kwenda kwa waumini husika!
Kwa sababu serikali yenu haishauriki,hawa wasomi wa ukweli wameamua kupitia njia sahihi ili kutoa elimu kwa jamii ya waumini wao.
Tofauti na ile elimu anayoitoa katibu mkuu Chongolo wa CCM majukwaani huku akituona watanzania milioni sitini kama ni mataahira!