Wasanii wengi wa hapa Bongo ni wale ambao walifeli au walishindwa shule wakaamua kujiingiza kwenye usanii, wengi wao uelewa wao mdogo na wenye uelewa kidogo wamejaa tamaa ndo mana inakuwa rahisi kupelekeshwa na wenye mamlaka.Umeona nchi nyingi wanajielewa, wasanii wa bongo wanaenda kushikilia balls za jiwe wapate hela, hawajali ya kesho wao ni pesa mbele.
Haha onyesheni mfano wasanii watawafata kwenye hayo maandamano....yani mnataka kujifcha nyuma ya keyboard. tu halafu wengine waji sacrifice kwa ajili yenu halafu mwisho wa siku yatakayowapata yawe yao wenyewe nyie mtakachofanya zaidi ni kutoa povu tu na inaishia hapo.......everyone needs to play their part.......actions speak louder than words....Hao ndio wasanii wanaojielewa katika kutoa michango chanya katika nchi yao.
Siyo Hawa wasanii njaa wa hapa kwetu Tanzania wannatumika Kama toilets paper kwa njaa ya siku moja
Kabaki siro na genge lakeHayo yametangazwa na ofisi ya Polisi nchini humo.
Ujumbe wa ofisi hiyo kupitia mtandao twitter, unasema kuwa kikosi maalumu cha kukabiliana na waporaji kinachojulikana kama SARS kimevunjiliwa mbali mara moja.
View attachment 1597571
Wewe bwege movement zinaanzia mitandaoni , na wakuonyesha mifano ni wasanii.Haha onyesheni mfano wasanii watawafata kwenye hayo maandamano....yani mnataka kujifcha nyuma ya keyboard. tu halafu wengine waji sacrifice kwa ajili yenu halafu mwisho wa siku yatakayowapata yawe yao wenyewe nyie mtakachofanya zaidi ni kutoa povu tu na inaishia hapo.......everyone needs to play their part.......actions speak louder than words....
Hahaha ya mange ilianza mitandaoni na mwisho wa siku watu wakala buyu pumbavu nyie hamna kitu zaidi ya mapovu tu mitandaoni uselessWewe bwege movement zinaanzia mitandaoni , na wakuonyesha mifano ni wasanii.
Nigeria akina davido,Wizkid na wengine wengi wamemotivate maraia Hadi kitengo Cha kinyang'au Cha Polisi SARS kimefutiliwa mbali.
Hiyo ndio nguvu ya wasanii,hapo bongo nyumbani njaa,unafiki na misifa ya kijinga ndio imetawala chini ya utawala wa mshamba Magu
Akili fupi sana wewe boya.. !Hahaha ya mange ilianza mitandaoni na mwisho wa siku watu wakala buyu pumbavu nyie hamna kitu zaidi ya mapovu tu mitandaoni useless
Mange ni msanii wewe kenge?Hahaha ya mange ilianza mitandaoni na mwisho wa siku watu wakala buyu pumbavu nyie hamna kitu zaidi ya mapovu tu mitandaoni useless
Ni kamanda wewe kenge mtotoMange ni msanii wewe kenge?
Sipokei hizo dhawadi asee mie sidhaminiwi na wabeligiji hayo madude ndo mnayatolea povu ili myakalie kihalali.....msinihusishe na tabia zenu za ki ambaruti.....kamanda tumikia beberu akulipe hilo la katiAkili fupi sana wewe boya.. !
This is what u deserve