Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,277
- 31,409
ni mpumbavu sana!!!!!!!!!
Mkuu ungetusaidia sana kama ungeuweka upumbavu wake hapa..
ni mpumbavu sana!!!!!!!!!
Wewe una chuki na Zanzibar na wazanzibar, watu walikua wanaishi kwa khofu na wasiwasi na hivyo vikosi kuondoka ili watu waendelee na shughuli zao za kiuchumi na kujikwamua na umaskini wewe kumbe mwenzetu unaoneka haupendi na imekuchoma sana, vile visiwa kaviumba ALLAH na yeye pekee wa kuvilinda, utaniviona vile vile
Great Tinkers the hii forum ikifungwa mnaleta choko ... Invisible na hawa mod wa kuwaokoteza itatutokea puani. Huwezi kwenda 3 topics bila matusi sio kwamba wengine hawawezi kurudisha matusi but this is too low!
JWTZ wameondoka Zanzibar? Kwa hiyo kisiwa hakina ulinzi siyo? Pongezi
Maalim Seif ni shujaa sana !
Mlipeleka vikosi TZ kwani kuna vita au?
Mkishalewa madaraka ni rahisi sana kuondoka madarakani
Great Tinkers the hii forum ikifungwa mnaleta choko ... Invisible na hawa mod wa kuwaokoteza itatutokea puani. Huwezi kwenda 3 topics bila matusi sio kwamba wengine hawawezi kurudisha matusi but this is too low!
Naona umezoea kushinda vikao vya urojo.Jwtz NI JESHI LA muungano liko Zanzibar miaka yote sio limepelekwa leo na litaendelea kuwepo.Hivi hujui kuwa suala la ulinzi ni swala la muungano kuwaona popli,na JWTZ maeneo mbali mbali ya Zanzibar kunakushangaza ni nini ndi kazi yao kulinda maeneo mbali mbali kama umewaona wanatoka eneo moja watakuwa wanaenda eneo lingine lakini zanzibar hawatoki ng`o.
Mkuu,
weka Picha na video na vikosi hivyo vya JWTZ / TPDF vinaenda/vinarudi kambi au wapi?
JWTZ wameondoka Zanzibar? Kwa hiyo kisiwa hakina ulinzi siyo? Pongezi
Nadhani hujaelewa topicNaona umezoea kushinda vikao vya urojo.Jwtz NI JESHI LA muungano liko Zanzibar miaka yote sio limepelekwa leo na litaendelea kuwepo.Hivi hujui kuwa suala la ulinzi ni swala la muungano kuwaona popli,na JWTZ maeneo mbali mbali ya Zanzibar kunakushangaza ni nini ndi kazi yao kulinda maeneo mbali mbali kama umewaona wanatoka eneo moja watakuwa wanaenda eneo lingine lakini zanzibar hawatoki ng`o.
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,utaondoa vikosi utavipeleka wapi.maalim kenda kunywa juice tu,tusubiri marudio ya uchaguzi
JWTZ wameondoka Zanzibar? Kwa hiyo kisiwa hakina ulinzi siyo? Pongezi
umeambiwa ni jwtz sio vikosi tofautisha vikosi ni vya zbrVikosi vinaenda wapi wakati vipo huko kila siku?
Hebu tunaomba mtueleweshe kidogo, mnaposema ALLAH mnamaanisha nini.Wewe una chuki na Zanzibar na wazanzibar, watu walikua wanaishi kwa khofu na wasiwasi na hivyo vikosi kuondoka ili watu waendelee na shughuli zao za kiuchumi na kujikwamua na umaskini wewe kumbe mwenzetu unaoneka haupendi na imekuchoma sana, vile visiwa kaviumba ALLAH na yeye pekee wa kuvilinda, utaniviona vile vile
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,utaondoa vikosi utavipeleka wapi.maalim kenda kunywa juice tu,tusubiri marudio ya uchaguzi