RaisMtarajiwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 704
- 65
- Thread starter
- #41
hapo ndio mwishowako wakupambanua hoja? Ubongo wa KukuHao wanatoka vyuo vikuu vya ujinga na mikakati ya usaliti toka CCM dhidi ya watanzania na vijana wazalendo wa nchi hii
hapo ndio mwishowako wakupambanua hoja? Ubongo wa KukuHao wanatoka vyuo vikuu vya ujinga na mikakati ya usaliti toka CCM dhidi ya watanzania na vijana wazalendo wa nchi hii
Nadhani pia si wanafunzi wa Profesor DaudiKama hawa vijana wameshindwa kujitambua kwa level hiyo ya elimu, basi kuna mushkeli kwenye mitaala ya elimu nchini.
Nimejaribu kuwauliza vija na wa UD wengi wao hawajui kabisa hizo habari za tamko kwa hiyo hao waliotoa tamko ni waganga njaa tu.
Nimejaribu kuwauliza vija na wa UD wengi wao hawajui kabisa hizo habari za tamko kwa hiyo hao waliotoa tamko ni waganga njaa tu.
Kama wale vijana wa western collage, azania, cilosi sijui, kariakoo, highbrige n.k sawa nao ni vijana wa vyuo pia
Lakini kama wale wa UDSM, IFM, SUA, MZUMBE, TIA nk sijazani kama wanaweza kuonge hayo.
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.
Una akili kweli ww? Vija wa vyuo vikuu vipi? Unafahamu vipo vingapi Tz? Wa chuo kipi? Mbona wa huku kwetu wanataka 3 au 1?
Ndiyo nini?
na ww unasoma chuo kikuu au ww ni mkulima mwenzangu au mmachinga?kama kweli unajitambua na unamalengo sahihi na nchi hii sizani kama Taifa ili ni sehem ya kujifunzia Uwongozi
Nyie Dv 5 mkoje?mods siku hizi hamfanyi kazi kabisa,hiki ni kituko gani sasa?mtu hajui TIA ni kitu gani? ma nyoko wewe.
na ww upo UDSM?ulitegemea hao waliuluzwa ni wote, sikiliza kama unaitaji no. Zao nibora useme ili utumiwe na huwaoji kulikoni. Kutetea viongozi wa Ukawa ni sawa na kuliangamiza Taifa. Viongozi wa ukawa hawajitambui. Ni mazuzu hao na wanawaza kwenda Mombasa
We jamaa nimekufatilia toka mchango wako wa kwanza mpaka sasa,chakusikitisha nlichokigundua ni kua,kwanza ujui kuandika kiswahili,hoja zako ni za kipu.mbavu unatetea tuu ujui unaongea nini,unatafuta watu wakujibizana nao nahisi uko uliko huna kazi hivyo unapotezea mda jf.cha kukushauri kaa chini ujitafakari ni matumaini yangu kua wew ni mtu mzima unaweza kukaa kimya ama ukasoma komenti za watu wengine, baadae mwisho wa siku na wewe utajua namna ya kuchangia..acha pumba kijana.ulitegemea hao waliuluzwa ni wote, sikiliza kama unaitaji no. Zao nibora useme ili utumiwe na huwaoji kulikoni. Kutetea viongozi wa Ukawa ni sawa na kuliangamiza Taifa. Viongozi wa ukawa hawajitambui. Ni mazuzu hao na wanawaza kwenda Mombasa
Dk michaelNadhani pia si wanafunzi wa Profesor Daudi
We mleta mada na ww umetumwa vijana gani hao wa vyuo vikuu? Acha kudanganya watu. Taja basi hvyo vyuo ebooo..!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums