Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka

Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka

Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.
hao vijana wa vyuo vikuu mbona hawajafunguka kwenye wizi wa EPA? hao ni wale waliotokea shule za kata
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

Vijana wa vyuo vikuu?
 
Ukiwa tofauti na chadema unaambiwa -----------

Ukawa mmechemka Sana
 
hao vijana wa vyuo vikuu mbona hawajafunguka kwenye wizi wa EPA? hao ni wale waliotokea shule za kata

kweli vijana waliofunguka wanatokea shule za kata why wana nia ya dhati kabisa na Taifa letu. Ni bola kujipendekeza kwa katibu kata kuliko kujipendekeza kwa viongozi wa Ukawa wapenda pesa kama wamezaliwa nazo. Nashangaa sana wasomi wazima wanashawishiwa na Macho kumchuzi "mbowe"
 
Una akili kweli ww? Vija wa vyuo vikuu vipi? Unafahamu vipo vingapi Tz? Wa chuo kipi? Mbona wa huku kwetu wanataka 3 au 1?
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

Du!, Rafiki lazima wewe utakuwa na tatizo na Ukawa na wala hoja yako siyo maelezo ya wanafunzi wa vyuo kufunguka. Lengo lako ni kuelezea posho za wajumbe hao. Kwanza wanayo halali ya kuchukua posho na wala hawatakiwi kurudisha au kuulizwa kwa nini wamechukua?. Ilikuwaje wakapewa posho hadi tarehe 30/04/2014!. Bila shaka huu ni ufisadi wa serikali yako na pia lengo lilikuwa ni hogo ambayo walitoa ili wapitishe serikali 2. Jiulize; Ratiba ilionesha kuwa tarehe 25 ni mwisho wa Bunge, na pia kuanzia Alhamisi walijua Bunge linaenda Mapumuziko hadi Jumanne. Sasa ilikuwa walipwe hadi tarehe 30. Kabla ya kuoji kwanza wambie akina CCM warudishe zile walizopeana kwa ajili ya kwenda kutanua. Waache Ukawa watumie posho hii kuelimisha wananchi kutambua haki yao!.
 
Kabla sijafungua uzi hu nilihisi hawa wadogo zetu watakua na msimamo gani, katika ulimwengu hu wa kuhongana vyeo ndani ya ccm na ugumu wa kupata kazi ningeshangaa sana. Kwa ujumla nchi hi wasomi wengi hawana msaada sana kwa maendeleo ya kisiasa.
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

Vyuo vikuu vp hivyo?
Au ilala university college Institute of Computers Tecnology and Secretary??
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

walikua wapi kipindi Warioba alivyokua akichukua maoni ya watanzania?
 
wVYX 6tM6QRRgAAAABJRU5ErkJggg==

Said Michael says it all!
Survival ya mahayawani wo wote ni kuhakikisha jamii inakuwa na mazezeta.
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.


Hawa wasomi uliowapamba hapa ndio wameifikisha nchi hii hapa ilipo ,nilichokiona hapa katika hoja yao mufilisi ni kuwa wamejifichia katika hoja kuwa UKAWA sio wazalendo(kisa wamesaini posho) ili kurasimisha hoja dhaifu ati Serikali tatu ni mzigo na itaongeza gharama!!!!.Mimi niseme wanaendelea ama kutumika kuipigia filimbi kauli mbiu ya raisi Jakaya aliyoitoa katika ufunguzi wa Bunge hilo la Katiba ,wananchi tunashukuru maana wanafiki tunawaona historia pia itawahukumu pia.
 
Du!, Rafiki lazima wewe utakuwa na tatizo na Ukawa na wala hoja yako siyo maelezo ya wanafunzi wa vyuo kufunguka. Lengo lako ni kuelezea posho za wajumbe hao. Kwanza wanayo halali ya kuchukua posho na wala hawatakiwi kurudisha au kuulizwa kwa nini wamechukua?. Ilikuwaje wakapewa posho hadi tarehe 30/04/2014!. Bila shaka huu ni ufisadi wa serikali yako na pia lengo lilikuwa ni hogo ambayo walitoa ili wapitishe serikali 2. Jiulize; Ratiba ilionesha kuwa tarehe 25 ni mwisho wa Bunge, na pia kuanzia Alhamisi walijua Bunge linaenda Mapumuziko hadi Jumanne. Sasa ilikuwa walipwe hadi tarehe 30. Kabla ya kuoji kwanza wambie akina CCM warudishe zile walizopeana kwa ajili ya kwenda kutanua. Waache Ukawa watumie posho hii kuelimisha wananchi kutambua haki yao!.

siwezi kataa mawazo yako kwa kuwa ndivyo hivyo ulivyomezeshwa na viongozi mchwara wa Ukawa, Ukawa ni matapeli na wazandiki ktk Taifa hili
 
We mleta mada na ww umetumwa vijana gani hao wa vyuo vikuu? Acha kudanganya watu. Taja basi hvyo vyuo ebooo..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
sina hamu tena ya kusoma elimu ya juu,wanaosoma elimu kwa kiwango hicho kama wamekufa vile.tuna haja ya kubadili mitaala.ebu Anglia wakenya wanavyojitambua kwa elimu yao! natamani nisomee Kenya.wanafunzi wa vyuo vikuu ni wajinga haswa.
 
Back
Top Bottom