Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka

Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka

RaisMtarajiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
704
Reaction score
65
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa.

Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014?

Ndugu zangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.
wasaka TONGE au kajanja buku 7
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

Kama wale vijana wa western collage, azania, cilosi sijui, kariakoo, highbrige n.k sawa nao ni vijana wa vyuo pia

Lakini kama wale wa UDSM, IFM, SUA, MZUMBE, TIA nk sijazani kama wanaweza kuonge hayo.
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

kweli kiongozi, hapo umenena, hawa jamaa wako kipesa zaidi. Kama kweli ni wazalendo wa nchi hii wangelikataa kusaini kuchukuwa posho ili angalau waseme wamegomea posho nasi katiba. Ninauchungu sana na mtu mwenyesura nzito kama ugali wa muogo kwa kuwakashifu waasisi wa Taifa letu
 
Kama hawa vijana wameshindwa kujitambua kwa level hiyo ya elimu, basi kuna mushkeli kwenye mitaala ya elimu nchini.
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

So much for the democracy!
 
nimesikitishwa pia na uwezo wao
wa kupambanua mambo.....kwani ni mdogo mno.
Taaluma inabakwa nje nje
 
Nilivyokuwa nawaangalia nikaanza kuona aibu mimi...! dah.. kazi ipo kama ndo vijana tulio nao hao.
 
Kama wewe ni mmojawapo basi hasara..hata kuandika huwezi
 
Hao wanatoka vyuo vikuu vya ujinga na mikakati ya usaliti toka CCM dhidi ya watanzania na vijana wazalendo wa nchi hii
 
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa. Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014? Nduguzangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.

Tatizo sio serikali tatu Tatizo ni kuyakataa maoni ya wananchi na kuyaita maoni ya warioba haya maccm bhana yasumbua sana
 
wanavyuo wa vyuo vyote tanzania wanataka muundo.wa serikali mbili uendelee
 
hakuna mwanachuo hata mmoja anaetaka serikali tatu
 
Tatizo sio serikali tatu Tatizo ni kuyakataa maoni ya wananchi na kuyaita maoni ya warioba haya maccm bhana yasumbua sana

kama kweli unajitambua na unamalengo sahihi na nchi hii sizani kama Taifa ili ni sehem ya kujifunzia Uwongozi
 
Back
Top Bottom