RaisMtarajiwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 704
- 65
Hatimaye vijana wa vyuo vikuu wafunguka na kudai serikali 3 ni mzigo kwa Taifa. Wanawashauli Watanzania kuwa makini na viongozi wa Ukawa.
Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014?
Ndugu zangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.
Wameeleza kama kweli viongozi wa Ukawa wanania ya dhati kwanini walisini posho hadi tarehe 30/04/2014?
Ndugu zangu viongozi wa ukawa hawana nia ya dhati na Taifa letu.