Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,464
Baada ya kusubiri kwa miaka na miaka kama Wakiristo wanavyosubiri ujio wa Masihi, hatimaye leo 12-1-2020 ujenzi wa barabara ya kutoka Chuo cha Ardhi mpaka Makongo Juu na Goba umeanza.
Cha kushangaza kidogo ni kwamba ujenzi umeanzia hapa Chuo cha Ardhi kwenye posta na mabweni. Wamefumua ile lami nzuri wanajenga upya.
Hakika hili ni jambo la kumshukuru Mungu na walipa kodi. Kodi yenu inafanya kazi.
Magari hayapiti kabisa kwenda Makongo Juu. Sasa unalazimika kuingia Chuo cha Ardhi na kupita huko nyuma nyuma hadi CCM.
Cha kushangaza kidogo ni kwamba ujenzi umeanzia hapa Chuo cha Ardhi kwenye posta na mabweni. Wamefumua ile lami nzuri wanajenga upya.
Hakika hili ni jambo la kumshukuru Mungu na walipa kodi. Kodi yenu inafanya kazi.
Magari hayapiti kabisa kwenda Makongo Juu. Sasa unalazimika kuingia Chuo cha Ardhi na kupita huko nyuma nyuma hadi CCM.