kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,075
- 1,549
Muoe. Ukimkosa huyo utahangaika maisha yako yote usimpate wa kureplace......kitachitokea akiolewa atakuwa busy na mumewe usidhani utamoata kirahisi tena
Ndivo inavyokiwagaUnajua usichanganywe na muonekano,hujui Mungu anapanga nini mbele,unaweza ukaja ukajuta sana na utakuwa ushachelewa.... all in all usije ukafanya jambo ambalo baadae ukaja ukajutia!! unaweza ukampata "huyo"ambae unamuwaza akawa mateso kwako ukajuta
Unahisi sijakua? Nimeyafanya hayo unayoyazungumza ila baadaye akili inakueleza ukweli kuwa unachokifanya hakina maanaDunia ina mengi chifu .ukikua utayakuta
Tuendelee kujifukiza episode 2 ya corona ni kali balaa
Siku mkiachana kweli ndio utagundua kwamba unampenda
She lived there...binti ambae kapitia meng..now ametulia...she used to smoke bro..tatoo kibao..yan hata kutoka nae inakuaga shida..sema anajutia sana..sometime had anavaa nguo zinazoziba tatoo zake..ila ni mzur waa sura na umboKama shida ni tatoo mbona zinafutwa?
Huyo mko nae Malaysia?We ndo umfungulie biashara?..au sijaelewa?...
Kuna period ya kuchagua lazima uringe
Na kuna period ya kuchaguliwa hapo ndo kazi ipo..
Daaah Mungu anakuona we kijana kwann huwa mnatufanyia hivi LakinKuna shemej yenu mmoja ambae nipo nae mda kidogo. kiukwel nimepitia mahusiano meng..kiufup zile achana achana nmepitia za kutosha mpaka moyo wangu umekua kama chuma.
Huyu bint toka nimekua nae yeye akili yake ni kwamba mim nimuoe....
Ila kiukwel mim sjawai muwazia kabisaaa
Yaan mim nipo nae tu na enjoy company yake etc.. tatzo langu mim treatment yangu kwa mwanamke huwa ni ile ile..hata kama sina mipango nae huwa namtreat kama nina mipango nae.
Siku zote bint anataka a move in..mim nakwepa..kumtambulisha to friends ndugu etc namkwepa sanaa..anataka pia tuzae mi sababu kibao..kiufup bint amejitoa 100%..na ni mda mref kdogo kama 2yrs hiv sasa....
Nachompendea tu huyu bint ni kwamba..amenipenda..bint akikupenda kwasis wakongwe tunajua..so sihitaj kueleza sana
Kanifumania sana msg etc..lakin yupo tu
Tatzo lilipo huyu bint mim siwez muoa hata iweje na nina sabab zangu nying tu..
Infact huyu dem nae ana stor yake yaan amekwepa mishale ming pia...
Shez kinda girl ambae ni freesoul..ana tatoo nin mrembo.mnyamwez yan..yaan dem ambae alikua kicheche nw ametulia..madem wa malaysia wale.wabongo waliosoma malaysia..micharuko..mshaelewa
So..kwa alivyo tu.yaan nawazaga hv with tht look namtambulishaje home.sbaab si hyo tu zipo nying.
Kufupisha;.
Niliwai jisahau sku1 nkamwambia wee bwana tafta mtu mwingne.hyo mitatoo yako nakupeleka wap.(nilikua nimelewa)
Dem alilia sana..huyu dem ananipenda kiukwel....sasa juzi kanichana kwamba ujue napoleone mi nakupenda snaa ila huna dalil ya kuwa namim...najua hutonioa najua
Dah nilijiskia vbaya snaa..nkazuga zuga tuu
Sasa..katika harakat za hapa na pale niliwai mwambia kuwa mi najua utakua na mtu pemben na sikulaum sbaab umeona mim sina future nawew...na najua una strugle sana na huyo mtu...najua hilo...amekataa kuwa hana na amelia sana kwamba namtaftia sabab nimwache..
Sasa mi mkongwe najua yupo tu mwana ambae anachunwa huko..huyu dem ananunuaga mazaga hapa kwangu na mazawad had najiuliza anapata wap hela za kuchezea hvo...
So tupo kwenye situation hyo na huy bint
Mi nmeshkuru kwamba angalau ameconfirm kuwa sitokuja kumuoa na kwamba ipo siku ntamuacha maana ndo kutu kilikua kinaniuma sana.kumwcha huyu bint.sabab najua ananipenda sana
Yaan nmesema hata nikija mwacha huyu lazima awe close namim..yuko loyal sana kwangu yaan naweza hata mwachia hela au account zangu akazitunza..very loyal
Nampango kabla sjamuacha nimfungulie mradi/biashara kamaa njia ya ku ji cleans
Ila sasa ndo hvo kumuoa siwez..hayuko moyon nitamtesa tu..na enjoy tu company yake
Uzi tayar(nmeona nishee na wadau)


Nilichoona hapo una mixed feelings tu , hakuna kingine , na ukitaka kuamini ni kweli muache hata kesho mkae mbali hata wiki 2 tu.Kuna shemej yenu mmoja ambae nipo nae mda kidogo. kiukwel nimepitia mahusiano meng..kiufup zile achana achana nmepitia za kutosha mpaka moyo wangu umekua kama chuma.
Huyu bint toka nimekua nae yeye akili yake ni kwamba mim nimuoe....
Ila kiukwel mim sjawai muwazia kabisaaa
Yaan mim nipo nae tu na enjoy company yake etc.. tatzo langu mim treatment yangu kwa mwanamke huwa ni ile ile..hata kama sina mipango nae huwa namtreat kama nina mipango nae.
Siku zote bint anataka a move in..mim nakwepa..kumtambulisha to friends ndugu etc namkwepa sanaa..anataka pia tuzae mi sababu kibao..kiufup bint amejitoa 100%..na ni mda mref kdogo kama 2yrs hiv sasa....
Nachompendea tu huyu bint ni kwamba..amenipenda..bint akikupenda kwasis wakongwe tunajua..so sihitaj kueleza sana
Kanifumania sana msg etc..lakin yupo tu
Tatzo lilipo huyu bint mim siwez muoa hata iweje na nina sabab zangu nying tu..
Infact huyu dem nae ana stor yake yaan amekwepa mishale ming pia...
Shez kinda girl ambae ni freesoul..ana tatoo nin mrembo.mnyamwez yan..yaan dem ambae alikua kicheche nw ametulia..madem wa malaysia wale.wabongo waliosoma malaysia..micharuko..mshaelewa
So..kwa alivyo tu.yaan nawazaga hv with tht look namtambulishaje home.sbaab si hyo tu zipo nying.
Kufupisha;.
Niliwai jisahau sku1 nkamwambia wee bwana tafta mtu mwingne.hyo mitatoo yako nakupeleka wap.(nilikua nimelewa)
Dem alilia sana..huyu dem ananipenda kiukwel....sasa juzi kanichana kwamba ujue napoleone mi nakupenda snaa ila huna dalil ya kuwa namim...najua hutonioa najua
Dah nilijiskia vbaya snaa..nkazuga zuga tuu
Sasa..katika harakat za hapa na pale niliwai mwambia kuwa mi najua utakua na mtu pemben na sikulaum sbaab umeona mim sina future nawew...na najua una strugle sana na huyo mtu...najua hilo...amekataa kuwa hana na amelia sana kwamba namtaftia sabab nimwache..
Sasa mi mkongwe najua yupo tu mwana ambae anachunwa huko..huyu dem ananunuaga mazaga hapa kwangu na mazawad had najiuliza anapata wap hela za kuchezea hvo...
So tupo kwenye situation hyo na huy bint
Mi nmeshkuru kwamba angalau ameconfirm kuwa sitokuja kumuoa na kwamba ipo siku ntamuacha maana ndo kutu kilikua kinaniuma sana.kumwcha huyu bint.sabab najua ananipenda sana
Yaan nmesema hata nikija mwacha huyu lazima awe close namim..yuko loyal sana kwangu yaan naweza hata mwachia hela au account zangu akazitunza..very loyal
Nampango kabla sjamuacha nimfungulie mradi/biashara kamaa njia ya ku ji cleans
Ila sasa ndo hvo kumuoa siwez..hayuko moyon nitamtesa tu..na enjoy tu company yake
Uzi tayar(nmeona nishee na wadau)
Man up!! my bradha .She lived there...binti ambae kapitia meng..now ametulia...she used to smoke bro..tatoo kibao..yan hata kutoka nae inakuaga shida..sema anajutia sana..sometime had anavaa nguo zinazoziba tatoo zake..ila ni mzur waa sura na umbo
Hapo pa kumfungulia mradi nimekubali wewe ni mwamba. Kuji safisha ni jambo jema, maana dunia duara.Kuna shemej yenu mmoja ambae nipo nae mda kidogo. kiukwel nimepitia mahusiano meng..kiufup zile achana achana nmepitia za kutosha mpaka moyo wangu umekua kama chuma.
Huyu bint toka nimekua nae yeye akili yake ni kwamba mim nimuoe....
Ila kiukwel mim sjawai muwazia kabisaaa
Yaan mim nipo nae tu na enjoy company yake etc.. tatzo langu mim treatment yangu kwa mwanamke huwa ni ile ile..hata kama sina mipango nae huwa namtreat kama nina mipango nae.
Siku zote bint anataka a move in..mim nakwepa..kumtambulisha to friends ndugu etc namkwepa sanaa..anataka pia tuzae mi sababu kibao..kiufup bint amejitoa 100%..na ni mda mref kdogo kama 2yrs hiv sasa....
Nachompendea tu huyu bint ni kwamba..amenipenda..bint akikupenda kwasis wakongwe tunajua..so sihitaj kueleza sana
Kanifumania sana msg etc..lakin yupo tu
Tatzo lilipo huyu bint mim siwez muoa hata iweje na nina sabab zangu nying tu..
Infact huyu dem nae ana stor yake yaan amekwepa mishale ming pia...
Shez kinda girl ambae ni freesoul..ana tatoo nin mrembo.mnyamwez yan..yaan dem ambae alikua kicheche nw ametulia..madem wa malaysia wale.wabongo waliosoma malaysia..micharuko..mshaelewa
So..kwa alivyo tu.yaan nawazaga hv with tht look namtambulishaje home.sbaab si hyo tu zipo nying.
Kufupisha;.
Niliwai jisahau sku1 nkamwambia wee bwana tafta mtu mwingne.hyo mitatoo yako nakupeleka wap.(nilikua nimelewa)
Dem alilia sana..huyu dem ananipenda kiukwel....sasa juzi kanichana kwamba ujue napoleone mi nakupenda snaa ila huna dalil ya kuwa namim...najua hutonioa najua
Dah nilijiskia vbaya snaa..nkazuga zuga tuu
Sasa..katika harakat za hapa na pale niliwai mwambia kuwa mi najua utakua na mtu pemben na sikulaum sbaab umeona mim sina future nawew...na najua una strugle sana na huyo mtu...najua hilo...amekataa kuwa hana na amelia sana kwamba namtaftia sabab nimwache..
Sasa mi mkongwe najua yupo tu mwana ambae anachunwa huko..huyu dem ananunuaga mazaga hapa kwangu na mazawad had najiuliza anapata wap hela za kuchezea hvo...
So tupo kwenye situation hyo na huy bint
Mi nmeshkuru kwamba angalau ameconfirm kuwa sitokuja kumuoa na kwamba ipo siku ntamuacha maana ndo kutu kilikua kinaniuma sana.kumwcha huyu bint.sabab najua ananipenda sana
Yaan nmesema hata nikija mwacha huyu lazima awe close namim..yuko loyal sana kwangu yaan naweza hata mwachia hela au account zangu akazitunza..very loyal
Nampango kabla sjamuacha nimfungulie mradi/biashara kamaa njia ya ku ji cleans
Ila sasa ndo hvo kumuoa siwez..hayuko moyon nitamtesa tu..na enjoy tu company yake
Uzi tayar(nmeona nishee na wadau)
Changamoto ipo mkuu .mi mtu mzima ujue..ukishaona mtu mzima kaongea kitu ujue kuna jambo halijakaa sawaNilichoona hapo una mixed feelings tu , hakuna kingine , na ukitaka kuamini ni kweli muache hata kesho mkae mbali hata wiki 2 tu.
Sasa kumsaidia mwambie ukweli yeye mwenyew atalia mwisho atanyamaza atazoea ila Dunia kumbuka Dunia inajizungushaNmeamua kusema ukwel...sitak nimuoe kwa kumuhurumia