Hatimaye TBC warusha live mkutano UKAWA

Hatimaye TBC warusha live mkutano UKAWA

Leo wameona aibu....nilifurahi zaidi nilipoona wanaonesha matukio ya mwisho kabisa hata itv ilipokuwa imechomoka hewani. TBC tendeni haki....
 
Leo wameona aibu....nilifurahi zaidi nilipoona wanaonesha matukio ya mwisho kabisa hata itv ilipokuwa imechomoka hewani. TBC tendeni haki....
 
Niliona release yao kuonywa na tume ya mawasiliano. ni baada ya kupewa onyo kuwa tabia yao ya kurusha taarifa kwa upendeleo ikiendelea watachukuliwa hatua za nidhamu siyo tuu wamerusha bure. walionywa tabia ya kurusha matangazo hasa ya kamoeni kwa kupendelea vyama. na pia uchambuzi wao wa magazeti kinyume na ilivyoandikwa na kuscha kusoma habari za vyama vya upinzani
 
marudio ya mkutano saa tatu itv kama umeme utakuwa umerudi kwa mliokatiwa
 
Niliona release yao kuonywa na tume ya mawasiliano. ni baada ya kupewa onyo kuwa tabia yao ya kurusha taarifa kwa upendeleo ikiendelea watachukuliwa hatua za nidhamu siyo tuu wamerusha bure. walionywa tabia ya kurusha matangazo hasa ya kamoeni kwa kupendelea vyama. na pia uchambuzi wao wa magazeti kinyume na ilivyoandikwa na kuscha kusoma habari za vyama vya upinzani

uko sahihi kiongozi... very biased hawa jamaa.
 
ama kweli mswahili ni mtu wa ajabu sana. hakosi la kusema. TBC wasingerusha mngesema negatively, wamerusha mmesema negatively. mswahili ni mswahili tu. period.

Wamesoma upepo, wamegundua lolote laweza tokea, hivyo wameona wasipuuze wapinzani Mazima.

Mabadiliko hayazuiliki. Hapa naangalia mkutano wa ukawa kupitia TBC, haki yetu kodi zetu tuzitumie wote!

Wamefulia TBC lazima waonyeshe mkutano

Hahaaa piiiiipooooz Huwezi uficha moto

haaaa...NOANA TBC WANARUKA RUKA KAMA WAMEMEZA KAA LA MOTO.

..hahaa mficha ...... hazai.!

Mchakamchaka

sijaona ila kama ni kweli basi inawezekana pepo ccm ndio anawatoka kwa sasa

tena katika ubora ulio wa hali ya juu

Leo imewabidi tu
 
Back
Top Bottom