Hatimaye TBC warusha live mkutano UKAWA

Hatimaye TBC warusha live mkutano UKAWA

Hiyo ni amri iliyotolewa na TCRA. Pongezi ziwaendee TCRA kwa kutenda haki. Mungu pia awape ujasiri Tume ya uchaguzi NEC kwa kutangaza matokeo kwa haki bila upendeleo. Mungu ibariki Tanzania na watu wake Amina!
 
3X6A6344.jpg
 
Lowassa kwanini hatabasamu? kama kala limao. Kajawa na visasi tuuu.
 
Kheri kijana masikini mwerevu,mnyenyekevu kuliko mfalme mzee mpumbavu asiyesikia maonyo.Nanukuu.
 
Mbowe ameamua kuingilia kati kusaidia jahazi, anapiga kampeni ili mamvia apatr nafuhu ya kuongea ..wanamsaidia kuongea wanajua mtu wao domo zege na hawezi kujenga hoja
 
Hasira za wananchi zinazidi kupanda na huu ujinga. Kukata umeme una madhara mengi sana kwa watu.

kitaeleweka tu
 
Huku Mwanza bado hakuna umeme, maelezo kwamba TBC inaonyesha mkutano wa Ukawa viwanja vya Jangwani ni kweli?
 
Wanajua baada ya uchaguzi watafukuzwa wote.rais lowasa hataki mzaha.
 
Mabadiliko hayazuiliki. Hapa naangalia mkutano wa ukawa kupitia TBC, haki yetu kodi zetu tuzitumie wote!

Hawana furaha yeyote, hawa TBC hadi vichwa vya habari kwenye magazeti asubuhi kama vita tittle ya UKAWA wanavichupa wanaenda kwenye heading ndogo ndogo. hii ni TV ya Chama Cha Mapinduzi
 
Back
Top Bottom