Kama hao Papa wanakupandisha hasira je Nyangumi?Mie hasira zinanipanda sana kuona hawa mafisadi papa wa kiasia wanakoroma ndani ya nchi yetu....yaaani..wee acha tu....Hawa jamaa hata Idd Amini aliona kwamba wanadhoofisha uchumi wa nchi yake na kuamua kuwafukuzia mbali....tatizo lao wakichuma nchini kwa ufisadi ..wanahamishia mali zao nje ya nchi...wala nchi haifaidiki na mali zao.....wananiudhi......
Subhash ni family friend wa Salma na Mrisho.
Jana tarehe 30 april Ndg Subhash Patel kupitia kwa wakili wake Julius Lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian,wakurugenzi wa radio uhuru na ITV pamoja na mwenyekiti wao Mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata mchuchuma kwa mizengwe.Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi
Jana tarehe 30 april Ndg Subhash Patel kupitia kwa wakili wake Julius Lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian,wakurugenzi wa radio uhuru na ITV pamoja na mwenyekiti wao Mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata mchuchuma kwa mizengwe.Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi[/QUOTE
To hell with these bloody Indian mobsters! Only in our banana republic can these bastards rape us and rub it in our face. Siku Wadanganyika wakizinduka
mtatafuta pa kutokea!
No no no no no hapana huyu bwana hajapata kuwa mweka hazina wa mtandao hata siku moja ila ni rafiki mkubwa wa tangu utotoni wa muungwana.
Like the son like the father! Yule kachukua Kiwira huyu ataondoka na Mchuchuma!!
Watanzania, it is too much; hivi hamna watu wakawaonyesha mfano watu kama hawa? Kiburi yao ni kubwa sana; wanajua tutasema halafu tutalala; sheria zetu wala hazina maana! What next?
Umegusa penyewe!
Kuna watu humu nadhani hawamjui subash...urafiki wake na jk ni kimaslahi ...just like urafiki wake na officials tra, nssf, ppf, defence, ministry of finace, tourism , bot na kadhalika.. uliza wangapi walikuwa karibu yake enzi za mwinyi na mkapa..saizi hawako serikalini kawatema...
kila mzee serikalini akiulizwa uhusiano wake na hawa wahindi jibu walisoma wote au wametokea kijiji kimoja..na mitoto yao inakubali ...hahahahahaha
Subhash Patel nadhani si sahihi awe kwenye chungu cha mapapa. Namfahamu huyu bwana kwa miaka mingi kama mhangaikaji/mjasiriamali asiyecheza faulo.
.Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi
- Yaaani fisadi papa aombwe radhi na wananchi kwa kuwa na ushaidi wa ufisadi wake? Hawa wezi kweli wana kiburi sana hawa, hivi wanakitoa wapi hiki kiburi?
FMES!
Kiburi ni kuwa wanajua inawezekana kuwahonga baadhi ya majaji wa hapa Tz, HIVYO WANAAMINI HAKUNA KILICHO ZAIDI YA PESA.
- Yaaani fisadi papa aombwe radhi na wananchi kwa kuwa na ushaidi wa ufisadi wake? Hawa wezi kweli wana kiburi sana hawa, hivi wanakitoa wapi hiki kiburi?
FMES!