Hatimaye St.joseph college of engineering and technology yawa univerisity

Hizi taarifa ni rasmi au ni mawazo binafsi? Maana mpaka chuo kinapewa hadhi ya university lazima vigezo na masharti vizingatiwe, na kwa st. joseph kiukweli bado haijafikia kuitwa university.
 
Kiwe kisiwe isitutishe cha muhimu ni kama elimu inapatikana na kama wadau wa pale wanapata ajira kama hawapati hata kikipata usajili ni kazi bure kama UDOM mbona kina usajili halafu waajiri wanasema hatuwataki wa hivi!!!
 
Kiwe kisiwe isitutishe cha muhimu ni kama elimu inapatikana na kama wadau wa pale wanapata ajira kama hawapati hata kikipata usajili ni kazi bure kama UDOM mbona kina usajili halafu waajiri wanasema hatuwataki wa hivi!!!

Waajiri gani hao? Mbona vijana wanaohitimu katika chuo kikuu cha Dodoma wanaajiriwa?
 
Hizi taarifa ni rasmi au ni mawazo binafsi? Maana mpaka chuo kinapewa hadhi ya university lazima vigezo na masharti vizingatiwe, na kwa st. joseph kiukweli bado haijafikia kuitwa university.

Ungeviweka hivyo vigezo ili tuipime kama inavyo au laa!
 
Ulishaona University yenye Prof Moja... tena kutoka India, wao hata mtu wa Veta anafundisha...

Embu TCU iwe serious, kwanza wanaharibu Elimu yetu

Sidhani kama waromani walio na mapadri na mabrother wenye elimu za kutosha kama wanaweza kufanya kitu kama huo!
 
kuwa chuo kikuu sio tatizo cha muhimu kiwe na vigezo vya kustahili kuwa chuo kikuu.
TCU ni wababaishaji wamekuwa wakisajili vyuo vikuu ambavyo havina adhi ya kuwa vyuo vikuu. mfano ni stefano moshi memorial university college na eckernforde tanga university, vyuo hivi viwili ni mfano mwa vyuo visivyostahili kuitwa vyuo vikuu.
 
prof mmoja sio tatizo kuna watu wana masters tu lakini wamefanya makubwa kuliko hata hao maprofesa,mfano kuna senior lecturer mmoja hv anafundisha udom pale kapata phd mwaka jana,anaitwa dr leonard mselle,huyu ndo mtu pekee tanzania mwenye computer language yake inaitwa memory transfer language(MTL) sasa mtu kama huyu uta mfananisha na profesa gan,kwa hiyo ata st joseph kuna watu sio maprofesa lakini ni compitent kuliko unavyo fikiri
 
prof mmoja sio tatizo kuna watu wana masters tu lakini wamefanya makubwa kuliko hata hao maprofesa,mfano kuna senior lecturer mmoja hv anafundisha udom pale kapata phd mwaka jana,anaitwa dr leonard mselle,huyu ndo mtu pekee tanzania mwenye computer language yake inaitwa memory transfer language(MTL) sasa mtu kama huyu uta mfananisha na profesa gan,kwa hiyo ata st joseph kuna watu sio maprofesa lakini ni compitent kuliko unavyo fikiri

Nielewavyo mimi MTL siyo computer language. Hii ni tool ya kufundishia wanafunzi namna ya kuprogram computer na kufanya debugging.
 
Ulishaona University yenye Prof Moja... tena kutoka India, wao hata mtu wa Veta anafundisha...

Embu TCU iwe serious, kwanza wanaharibu Elimu yetu
kwenye red una uhakika??????!!!
 
Kiwe kisiwe isitutishe cha muhimu ni kama elimu inapatikana na kama wadau wa pale wanapata ajira kama hawapati hata kikipata usajili ni kazi bure kama UDOM mbona kina usajili halafu waajiri wanasema hatuwataki wa hivi!!!

We ebu acha kukopi mambo nani kaxema waliosoma udom hawapati ajira,we hapa co fb unaweka kila k2.
 
Back
Top Bottom