Hatimaye Simba yapiga treble ya kukosa makombe

Kwa maana nyingine hawajaambulia kitu😀😀😀
 
hawaji mkuu mpaka dirisha kubwa la usajili lifunguliwe,ktk kipindi cha usajili simba huonekana kama ndiye real madrid wakati msimu ukiisha mangungu hugeuka kuwa mbuzi wa kafara.
Hahahahaha,kipindi cha usajiri wanatwaa makombe yote hayo
 
YANGA ndiyo timu peke ya mpira wa miguu hapa Tanzania
 
Simba sio team ya Mpira wa miguu

Ni kikundi Cha wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…