kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Ni ukweli pasina shaka simba tumeonesha hatupendezwi kabisa na uwepo wa engineer maana anatishia brand yetu na kumtesa sana Mo Dewji.
Tuungane na wachambuzi wetu kumshambulia ili atoke yanga.
Tukifanikiwa tutakuwa tumeshinda hiki kikombe kigumu
Simba
Guvu moya
Tuungane na wachambuzi wetu kumshambulia ili atoke yanga.
Tukifanikiwa tutakuwa tumeshinda hiki kikombe kigumu
Simba
Guvu moya