Hatimaye siku imefika

Hatimaye siku imefika

papaa2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2012
Posts
411
Reaction score
101
Habari wadau,

Kwa muda wa kama miezi 3 nimefanya kazi bila kupumzika mpaka ilifika wakati nikaamini haitatokea na mimi nipate muda wa kupumzika.Hapa nilipo ijumaa ndo naanza mapumziko,naiona ijumaa mbali sana.

Hatimaye naona siku zinasogea,hivyo ningependa kupata mtu wa kunipa kampan walau twende zetu beach tukapigwe upepo na story za mchangani.Walau kichwa kipumzike.

Kwa wale walio serious tafadhari tuwasiliane upande wa PM.Gharama zote juu yangu na sibagui umri
 
wamekuwa kimya coz ujatoa description mtu au watu wa jinsia gani
 
Back
Top Bottom