. Hiyo ni matokeo ya nguvu ya umma maana vijana wangekaa kimya wangelea kugongwa na magari hadi mwishoLile sakata la vurugu baina ya polisi na wanachuo wa Tumaini Makumira hatimaye limepata ufumbuzi baada ya Serikali kupitia kampuni ya ROCK TRONIC LTD kukubali kujenga matuta na kazi imeanza leo tarehe 15.11
Lile sakata la vurugu baina ya polisi na wanachuo wa Tumaini Makumira hatimaye limepata ufumbuzi baada ya Serikali kupitia kampuni ya ROCK TRONIC LTD kukubali kujenga matuta na kazi imeanza leo tarehe 15.11
Afadhari matuta yajengwe eneo hilo ni hatari saana, kuanzia kwenye sheli kupita darajani zimeisha tokea ajali nyingi na watu kupoteza maisha!!!!!!!!!!Ni vizuri uamuzi wa matuta kama pale Kambi ya Chupa hadi Shangarao, na hapo waweke hadi sehemu ya Danish!!!!!!!!Damu ya Emmanuel Ulomi hatimaye imekuwa chachu ya kuleta mabadiliko baada ya kufuata protoko na kuandika barua zaidi ya kumi kuomba matuta bila ya mafanikio,HATIMAYE VURUGU ZIME ZAA MATUNDA.