Hatimaye redio imaani kurudi hewani

Hatimaye redio imaani kurudi hewani

Serikali haikupaswa kuifungia kwa muda hii Station, ilibidi IFUTWE kabisa. Mtu hata History hajasoma wala hana elimu yoyote ila anajifanya kuchambua siasa kama anaijua.

Wala usihofu kwani ban itakayo fuata itakuwa ban ya maisha...Tutaisahau hii redio we subiri...
 
Allah karim! ' kutokuilalamikia na kuipinga dhulma hadharani ni Uchochez mkubwa na ni hatari kwa mustaqbal wa Taifa na watu wake'- Al allam Sheikh Ponda
 
Back
Top Bottom