Hatimaye redio imaani kurudi hewani

Hatimaye redio imaani kurudi hewani

Mtz.mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2012
Posts
357
Reaction score
49
Kile kituo chetu cha redio imaani a.k.a elimu bila mipaka au sauti ya waislamu, kinatagemea kurudi hewani tar.28 mwezi huu kwani ndiyo mwisho wa kifungo chake...hivyo waislamu wote na wapenzi wake wote tukae mkao wa kula kwa vipindi motomoto
 
RADIO IMANI wembe ni uleule kufichua haki inayo jificha nimatumaini mmejipanga (kiboko cha makafiri)
 
Sasa watafute waandishi wenye taaluma ya habari sio wale wachochezi.
 
Sasa waache kuwaaibisha Waislamu kwa kumtukana Baba wa taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Wajenge hoja wasifungwe na historia.
 
elimu bila mipaka .,.kuwatoa watu kwenye giza na kuwapeleka ktk nuru kwa idhini ya mungu. kila la kheri
 
mimi sio muislam lakini napenda kuisikiliza wakati mwingine ina mawaidha mazuri sana.
cc: marafiki zangu Adam Almas, Bedori, Jamali, Amina, Mzamiru wote wakiwa ar majengo ya chin najua nu habari njema hizi kwao.
 
Inamilikiwa na madhehebu gani, Sunni, Shia, Ibadhi, Ansaar Sunna, au Ahmadiyya(waitwao makafiri na Sunni?) Anayejua atujuze
 
Sheitan kafunguliwa aanze kupiga domo.kwa vyovyote itafunguliwa ila itafungwa tena coz kunguru hafugiki.
 
Back
Top Bottom