Hatimaye Punda Kafa

Hatimaye Punda Kafa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
13327352_1780085545537891_4435654604566832238_n.jpg
 
Duuuhh haki za wanyama zikwapi?!
 
hapa kwetu kuna mzungu mkikutana umebebesha punda mzigo kupita kiwango,huwa ana mfungua punda na ww mwenyewe unaubeba hata kama itabidi ulikokote mwenyewe.la sivyo akikukuta umebebesha punda na ana vindonda mwilini yeye humpiga risasi hapo hapo ili liwe funzo.
 
hapa kwetu kuna mzungu mkikutana umebebesha punda mzigo kupita kiwango,huwa ana mfungua punda na ww mwenyewe unaubeba hata kama itabidi ulikokote mwenyewe.la sivyo akikukuta umebebesha punda na ana vindonda mwilini yeye humpiga risasi hapo hapo ili liwe funzo.
Kwenu wapi mkuuu?
 
Huo msemo ungekuwa kwa lugha ya Kiingereza ungekuwa umeasisiwa na Robert Mugabe.

Ila kwakuwa ni msemo wa Kiswahili ni wa Mugabe wa Mbagala...
 
Back
Top Bottom