Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika UTUMBO MTUPU. Hii Serikali ipo madarakani ikimuwakilisha nani? Kwanini unataka kila inapofanya MADUDU tukae kimya tu? Tutaendelea kuwakosoa tu, hadi siku mtakapo anza kuheshimu katiba na kufuata utawala wa sheria kenge ninyi.Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
bila shaka wewe ni msomaji wa TAZAMA TANZANIA, JANVI LA HABARI NA una akili kama musiba hiviiiSerikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata watetezi wa serikali dhalimu ya Weupe huko Afrika ya Kusini walitumia hoja Kama zako. Mbaya zaidi miongoni mwao walikuwepo weusi akina Mongesuthu Buthelezi, Chifu wa Wazulu.Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid thread wananchi raia ndio wenye dola. Awamu ya tano wamepora tu.Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wakijinga kabisa huu.
Hata watetezi wa serikali dhalimu ya Weupe huko Afrika ya Kusini walitumia hoja Kama zako. Mbaya zaidi miongoni mwao walikuwepo weusi akina Mongesuthu Buthelezi, Chifu wa Wazulu.
Hapa Afrika Mashariki hatujasahau ya Idd Amin Dada, aliyejiita Mshindi dhidi ya Dola ya Kibeberu ya Uingereza, huku akiwachinja Waganda kwa malaki.
Ulihitajika ujasiri wa wana wa kweli wa Afrika Kama Nyerere kutokomeza upumbavu ule.
Hapa Tanzania kuna jambo liko kombo, nalo linawahitaji wana wa kweli wa nchi kusimama na kusema: "Yatosha!!!"
NonesenseSerikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si muda mrefu,mtaiona ngumi ikirudi maana hamtaiona wakati ikitua. Haya endelea kutamba kwa madai ya kukata tamaa.
Mjuu tindo,shule hazikafunguliwa huko Tz?Ww unasifia na uko salama, mbona hutumii jina lako sahihi?
Nyie bavicha mna njia gani zaidi ya kuandamana na kulialia humu jf?? Mnaipata lini sasa?
Uzuri jamaa anawakanyaga kweli, hadi raha! Ukitaka kuamini weka ID yako ya kweli uone unavyokanyagwa fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtisha nani wewe?Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtisha nani wewe?
Serikali dhalimu na zenye nguvu Kama ya makaburu wa South Africa zimeondoka madarakani ije kuwa serikali ya kishamba Kama ya CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app