Hatimaye nimemjua mchumba mpya wa ex wangu

Hatimaye nimemjua mchumba mpya wa ex wangu

umewai kukiona kibamia changu
asante ndugu ila nilikuwa na shauku sana ata yeye anashauku ya kumjua mchumba wamgu

Inaelekea utakua umemuachia shimo kubwa sana ( moyoni mwake ) kiasi kwamba unahisi huyo mchumba mpya atakua anatumia mchi wa kinu kidogo kutwanga kwenye kinu kikubwa [emoji1493]
 
Why? Kama kweli mnashauku za dhat, kwa nini mtafute kuwaona kwa chances na msikutane mtambulishane?

Maisha mnayoyatafuta ni maisha ya maigizo ambayo si halisi, ili tu eti kutaka kujionyesha wewe ni bora kuliko mwezi wa x wako.

Haya maana. Mahusiano siyo jumla ya maisha yote. Umefail hapa, utafanikiwa pale. Songa mbele na ufanye mambo yenye tija. Hzi biashara za kuonyeshana, kukomeshana, mwisho wake mtaangamizana.

Mimi nimesema.
sijakuelewa lengo langu Ni kujua kama amepata ili nami nitafute
 
Teh mapenzi bhanaa

Hatare tupuuuu

#teamsingle#
 
Unakuta hata usingizi hujapata Baada ya kumjua sasa umemtafuta wa nini bado unampenda wewe
 
Yap wadau nimefanikiwa kumjua mchumba wa Ex wangu na nimefurahi kumjua anaye chukua nafasi yangu nimefurahi sana yani kumjua
Hahahahaha we jamaa hata sio Askari kwanza

Sasa unaanzaje kuachana na upelelezi wa majambazi wa kariakoo na kuanza kupeleleza mambo ya ex et

Njaa ya moyo hiyo, kwanza Nani kakwambia Kuna kudumu siku hizi

These days we're smashing then pass why would you bother yourself kumtafuta anaepiga ulipopoteza

Huu mwaka wa pesa sio wa mapenzi ujue hahahaha bye
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti akakabidhi ofisi
Si sehemu jamaa alikuwa anafanya kazi ile ya kuchi kuchi (kugusanisha sehemu nyeti) kaacha wameajiri mwingine. Wakikabidhiana ofisi, huyo mwajiriwa mpya atajua the do's and don't 😀😀😀
 
Maneno yako yanapishana na matendo yako...
 
Acha mambo ya kishamba, kama mlishaachana haina haja kuendelea kufuatiliana mpk umchunguze now anadate na nani,,
 
Back
Top Bottom