Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,162
- 26,671
Siku 3 tayari unasema akijibadilisha nitarudi...aisee nakushauri rudi tu sasa ivi usiuchoshe moyo bure
Siku 3 tayari unasema akijibadilisha nitarudi...aisee nakushauri rudi tu sasa ivi usiuchoshe moyo bure
Hahahahaha eti "sitoacha kupiga simu kwasababu ya mwanangu" hicho ndio kisingizio chenu, unawezaje kukaa mwaka bila kumuona mwanao kama kweli unampenda? Ukweli ni kwamba hiyo simu unapiga ili uongee na mama yake na wala sio mtoto kama unavyojaribu kujiongopea hapa, anyways mkuu zipo njia nyingi za kujifariji kama hii unayoitumia wewe cha msingi rudiana na barafu ya moyo wako usijipe tabu na usisikilize maneno ya wana JF humu ndani wao pia wana vimeo vyao.Wewe ndo hujanielewa mkuu, hapa nilipo huenda kurudi ikafika mwakani ndo nikarudi ila siku tatu nazifurahia kuona amani inarejea. Nimejipa hadi mwaka wote huu uishe nitakuwa nishaona lolote ndani yake ,sitaacha kupiga simu kwa sababu ya mwanangu.
Katika series ya wakorea iitwayo king of tears :lee bang wonYes Jo...
Mimi huwa naamini kitu kimoja, mwanamke unapaswa umfanye mume/boyfriend wako awe rafiki yako kindakindaki...
Wanaume huwa hawana hulka ya kusaliti marafiki wao wa moyo...
Kitu wanakosea wanawake, ni kujaribu kwa nguvu kuchukua nafasi ya mwanaume...
Mlioana mje mtunishiane misuliSawa mkuu, nilitaka ajue sijamkimbia na wala simuogopi napiga sio kumuumiza bali ajue nipo na hana namna ya kunifanya.
Huyu jamaa atarudi kwa mkewe trust meHongera sana Hendisamu boy, Sasa vuta ka kichenchede Kapya kabisaa uanze maisha upya
Atakakofikia panaitwa "utajuta kuja hapa"Anapiga chini zen anaenda pasipojulikana
KesharudiAtakakofikia panaitwa "utajuta kuja hapa"
Kesharudi