Hatimaye naanza kuona amani ya moyo

Hatimaye naanza kuona amani ya moyo

Kwani yamekukuta yapi mkwe?

Ningeshangaa sana nisingekuona kwenye uzi huu 😊😊

Hakuna kilichonikuta mkwe, ni tafakari binafsi tu baada ya kushuhudia visa kadhaa vinavyoshahabiana na hivi kwa ndugu wa karibu
 
Hakuna kitu cha muhimu kama kuwa na Amani ya nafsi mkuu, hizo pilipili za ndoa zinawashaga mda mwingine hadi unasema huyu mke au kituko gani
Sana yaani 3days niko kama peponi
 
Yes Jo...

Mimi huwa naamini kitu kimoja, mwanamke unapaswa umfanye mume/boyfriend wako awe rafiki yako kindakindaki...

Wanaume huwa hawana hulka ya kusaliti marafiki wao wa moyo...

Kitu wanakosea wanawake, ni kujaribu kwa nguvu kuchukua nafasi ya mwanaume...

Kwa mwanaume rafiki wa moyo na tamaa ni mambo mawili tofauti

Anaweza kuwa na rafiki wa moyo lakini tamaa ikamfanya asaliti
 
Ningeshangaa sana nisingekuona kwenye uzi huu [emoji4][emoji4]

Hakuna kilichonikuta mkwe, ni tafakari binasfi tu baada ya kushuhudia visa kadhaa vinavyoshahabiana na hivi kwa ndugu wa karibu
Mmmmmmmh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ni sahihi pia Jo...

Ushauri tu, ukipata mume/boyfriend...jitahidi awe rafiki wako kindaki ndaki, couples za namna hiyo huwa zinafanikiwa sana
Okay,yote ni sahihi

Labda kitakachomfanya aendelee kubaki na mimi ni kama akiwa mwanangu sana
 
Unataka aanze kudili na stress mpya wakati ya zamani hajaimaliza????

Mbona kashaandika sasa ana amani ya moyo BT?

Mara zote unapoanza mahusiano na mtu, lengo huwa sio kuja kupigana chini...

Along the way ndio waja gundua hakuna chemistry, na kwa watu jasiri wasiotaka stress hutafuta ustaarabu mwingine...
 
Sasa ni muda wa kuvuta chombo kipya, kikizingua nacho unakipiga chini...

Wachuchu ni kama sahani tu, ikizingua unazama kabatini unachomoa sahani nyingine...no stress at all
Sasa akitaka atamani kurudiana na yule mwanamke wake wa zamani na kuona afadhali yule ajichanganye atafute mwanamke mpyaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani kwa sasa aishi single na kufanya malengo yake maana kiukweli hakuna Mwanamke ambaye anaweza kuvumilia shida bila kuleta maneno ya shombo
 
Sasa akitaka atamani kurudiana na yule mwanamke wake wa zamani na kuona afadhali yule ajichanganye atafute mwanamke mpyaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani kwa sasa aishi single na kufanya malengo yake maana kiukweli hakuna Mwanamke ambaye anaweza kuvumilia shida bila kuleta maneno ya shombo

Kuishi single pia ni sahihi, of course hii ilipaswa iwe option number 1...

Ushauri wa kutafuta mchuchu mwingine, naona ni wa busara zaidi ili kumfanya jamaa asiwe chovya chovya...

Experience ya kuishi na mtu waliyezinguana, inaweza mfanya aone wanawake wote ni sawa...

Hatimaye akawa dunga dunga, mzee wa kula kimasihara tu...
 
Sasa akitaka atamani kurudiana na yule mwanamke wake wa zamani na kuona afadhali yule ajichanganye atafute mwanamke mpyaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani kwa sasa aishi single na kufanya malengo yake maana kiukweli hakuna Mwanamke ambaye anaweza kuvumilia shida bila kuleta maneno ya shombo
Kiukweli sina mpango na kutafuta demu mwingine aisee. Sana sana nitafute pesa tuu.
 
Back
Top Bottom