Hatimaye naanza kuona amani ya moyo

Hatimaye naanza kuona amani ya moyo

Kuishi single pia ni sahihi, of course hii ilipaswa iwe option number 1...

Ushauri wa kutafuta mchuchu mwingine, naona ni wa busara zaidi ili kumfanya jamaa asiwe chovya chovya...

Experience ya kuishi na mtu waliyezinguana, inaweza mfanya aone wanawake wote ni sawa...

Hatimaye akawa dunga dunga, mzee wa kula kimasihara tu...
Kweli ilaa atulie kwanzaaa stress za kuishi na mwanamke ukiongeza na huna kitu mfukoni ni balaaa.. atafute wa kujipigiaa tu ila sio Kuanza kuishi nae
 
Kiukweli sina mpango na kutafuta demu mwingine aisee. Sana sana nitafute pesa tuu.
Yaah mkuu pole sana simlaumu sana mwanamke wako maana hata mimi Ilishanitokea so hadi leo najua mwanaume anaheshimiwa tokana na kile anachokitoa ndani ya nyumbaaa.. Mwanamke akiona majukumu anayamudu bila wew hujisahau sana achana nae
 
Sawa mkuu, nilitaka ajue sijamkimbia na wala simuogopi napiga sio kumuumiza bali ajue nipo na hana namna ya kunifanya.
Hapa ndiyo umeharibu kabisa, kuna kitu unajaribu kukikwepa ambacho ndiyo ukweli wenyewe kwamba bado unampenda sn huyo mkeo, kama umeondoka basi ondoka mazima kwasababu tayari mawazo yako na akili yako vinasema upo sahihi, ss simu nyingi za nn? Au ndiyo kisingizio mtoto.

Be man fanya maamuzi kwa kuondoka mazima au umrudie mkeo na ukubaliane na changamoto zake mana kusema atajirekebisha ni sawa na kusubiri kuongezewa chenji na ATM.

Hawa wanawake tukikosea kuchagua huwa ndiyo imeisha hiyo, ila pole mkuu cz najua unayoyapitia but yatakwisha tu.
 
Siku 3 tayari unasema akijibadilisha nitarudi...aisee nakushauri rudi tu sasa ivi usiuchoshe moyo bure
Wewe ndo hujanielewa mkuu, hapa nilipo huenda kurudi ikafika mwakani ndo nikarudi ila siku tatu nazifurahia kuona amani inarejea. Nimejipa hadi mwaka wote huu uishe nitakuwa nishaona lolote ndani yake ,sitaacha kupiga simu kwa sababu ya mwanangu.
 
Ni sahihi pia Jo...

Ushauri tu, ukipata mume/boyfriend...jitahidi awe rafiki wako kindaki ndaki, couples za namna hiyo huwa zinafanikiwa sana
Me nlifanya hayo yote ila haikusaidia
 
Back
Top Bottom