Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Sasa shughuli za mpaka baina ya Tanzania na Rwanda zimerejea kama kawaida kuanzia jana mchana.
Sintofahamu baina ya pande mbili zimetatuliwa na kupelekea makubaliano sasa madereva wa Tanzania na Rwanda watapimwa pande zote mbili na watapatiwa vyeti vitavyowafanya kufanya shughuli zao kwa uhuru pasi na vikwazo vya kubaguana na kunyanyapaliana kama hapo awali.
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Sintofahamu baina ya pande mbili zimetatuliwa na kupelekea makubaliano sasa madereva wa Tanzania na Rwanda watapimwa pande zote mbili na watapatiwa vyeti vitavyowafanya kufanya shughuli zao kwa uhuru pasi na vikwazo vya kubaguana na kunyanyapaliana kama hapo awali.
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.