Miaka miwili sio safari ndefu sana, lakini kwa sisi SmartBusiness imekuwa kama karne nzima ya mafunzo, uzoefu na changamoto..
Tulianza kama ndoto kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati Africa kuacha daftari na kalamu na kutumia zana za kidigitali kusimamia biashara zao. Safari haikuwa rahisi lakini leo, tunaandika hatua mpya:
âś… Installs zaidi ya 50,000 na wafanyabiashara zaidi ya 18,000 barani Afrika wanaamini SmartBusiness kila mwezi.
âś… Tumebadilisha njia ya kufuatilia mauzo, matumizi na hesabu kutoka kwenye karatasi kwenda kidigitali.
âś… Tumethibitisha kuwa kutoiacha ndoto njiani ndiko kunaleta matokeo makubwa.
Miaka 2 hii imetufundisha kuwa kila changamoto ni daraja la kufika mbali zaidi. Na safari hii bado haijaisha. Tunaamini mustakabali wa SmartBusiness na wajasiriamali wote Afrika ni mkubwa zaidi ya tulivyowahi kufikiria, ndoto yetu ni kufikia wafanya biashara 1,000,000 Africa ifikapo 2030. 🚀
📅 17 Oktoba 2025, Dar es Salaam – tutasherehekea miaka miwili ya mafanikio tuliyopata. Kwa wafanya biashara/wadau waliopo Dar mnakaribishwa kushiriki nasi tukio hili muhimu kuwa kujiandiksha kwenye fomu hii SmartBusiness 2-Year Anniversary Celebration – Registration .
Taarifa ya venue itathibitishwa kulingana na idadi ya wale ambao watajiandikisha kushiriki.
Soma pia
Tulianza kama ndoto kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati Africa kuacha daftari na kalamu na kutumia zana za kidigitali kusimamia biashara zao. Safari haikuwa rahisi lakini leo, tunaandika hatua mpya:
âś… Installs zaidi ya 50,000 na wafanyabiashara zaidi ya 18,000 barani Afrika wanaamini SmartBusiness kila mwezi.
âś… Tumebadilisha njia ya kufuatilia mauzo, matumizi na hesabu kutoka kwenye karatasi kwenda kidigitali.
âś… Tumethibitisha kuwa kutoiacha ndoto njiani ndiko kunaleta matokeo makubwa.
Miaka 2 hii imetufundisha kuwa kila changamoto ni daraja la kufika mbali zaidi. Na safari hii bado haijaisha. Tunaamini mustakabali wa SmartBusiness na wajasiriamali wote Afrika ni mkubwa zaidi ya tulivyowahi kufikiria, ndoto yetu ni kufikia wafanya biashara 1,000,000 Africa ifikapo 2030. 🚀
📅 17 Oktoba 2025, Dar es Salaam – tutasherehekea miaka miwili ya mafanikio tuliyopata. Kwa wafanya biashara/wadau waliopo Dar mnakaribishwa kushiriki nasi tukio hili muhimu kuwa kujiandiksha kwenye fomu hii SmartBusiness 2-Year Anniversary Celebration – Registration .
Taarifa ya venue itathibitishwa kulingana na idadi ya wale ambao watajiandikisha kushiriki.
Soma pia
Mwaka mmoja uliopita, nilianzisha program ya SmartBusiness kwa lengo moja kuu: kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) barani Afrika kuboresha usimamizi biashara zao na kuwawezesha kufanya maamuzi yatokanayo na taarifa sahihi za mwenendo wa biashara zao. Niliona changamoto nyingi zinazowakabili wafanyabiashara hawa, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa solutions rahisi zinazolingana na mazingira yao, na hivyo nilitaka kuwapa suluhisho rahisi kwa gharama nafuu.
Niliyojifunza Katika Safari ya Mwaka Mmoja
Kabla ya kuanzisha SmartBusiness, nilijaribu kuanzisha startups...
Niliyojifunza Katika Safari ya Mwaka Mmoja
Kabla ya kuanzisha SmartBusiness, nilijaribu kuanzisha startups...
- herman3
- changamoto kuendesha mafanikio mmoja mwaka mwaka mmoja smartbusiness startup wangu
- Replies: 14
- Forum: Tech, Gadgets & Science Forum
Tunafurahi kukualika uwe sehemu ya sherehe ya mwaka mmoja wa ukuaji wa SmartBusiness program ya usimamizi wa biashara ndogo na za kati (SMEs) kote Afrika.
Katika webinar hii, utapata kusikia moja kwa moja kutoka kwa mwanzilishi na timu ya SmartBusiness kuhusu safari ya SmartBusiness, mafanikio yake, na athari kubwa ambayo imekuwa nayo kwa maelfu ya biashara nchini Tanzania, Kenya, Nigeria, Ghana, Uganda, Zambia, na Afrika Kusini. Pia utapata kuona kwa kipekee mipango yetu ya baadaye na vipengele vijavyo ambavyo vitaendelea kuboresha mwelekeo wa biashara ndogo na zakati Africa.
Nini...
Katika webinar hii, utapata kusikia moja kwa moja kutoka kwa mwanzilishi na timu ya SmartBusiness kuhusu safari ya SmartBusiness, mafanikio yake, na athari kubwa ambayo imekuwa nayo kwa maelfu ya biashara nchini Tanzania, Kenya, Nigeria, Ghana, Uganda, Zambia, na Afrika Kusini. Pia utapata kuona kwa kipekee mipango yetu ya baadaye na vipengele vijavyo ambavyo vitaendelea kuboresha mwelekeo wa biashara ndogo na zakati Africa.
Nini...
- herman3
- biashara smartbusiness smes startup
- Replies: 2
- Forum: Tech, Gadgets & Science Forum