Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Watu wamezuiliwa kuingia mahakamani, Lema analumbana nao anawauliza ni sheria ipi inayozuia watu kuingia mahakamani kusikiliza kesi?
Muda si mrefu tutajua kinachojiri humu ndani.
================
FINAL UPDATE:
Kesi imeahirishwa, Mbowe kaachiwa kwa dhamana.
Mdhamini wa sasa wa Mbowe ni John Bayo diwani wa kata ya Elerai baada ya yule wa kwanza kuwa na kesi na yeye hivyo kesi zilikuwa zinagongana..
Muda si mrefu tutajua kinachojiri humu ndani.
================
FINAL UPDATE:
Kesi imeahirishwa, Mbowe kaachiwa kwa dhamana.
Mdhamini wa sasa wa Mbowe ni John Bayo diwani wa kata ya Elerai baada ya yule wa kwanza kuwa na kesi na yeye hivyo kesi zilikuwa zinagongana..