Hatimaye Magufuli adhibitiwa na CCM

Hatimaye Magufuli adhibitiwa na CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,176
Reaction score
48,460
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?
 
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?

Bird of the same feathers flop together...
 
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?
Wewe ndiyo hujui. CCM inataratibu zake
 
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?


Ataibadili, mpaka mwenye kadi namba 8 katimua mbio. mwisho wa siasa za wanamtandao 25!
 
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?

TINGA TINGA namba nyingine babu!.... mdudu aliyekuwa anajiita KINGUNGE aka Mkusanya kodi za parking barabarani na kituo cha ubungo kakimbia... kwa ufupi MAFISADI WOTE WANATETEMEKA.....wakisikia MAGUFULI.... WANATETEMEKA!
 
Kabanwaje sasa, kabanwa ama yeye ndo kawabana kupe?
 
TINGA TINGA namba nyingine babu!.... mdudu aliyekuwa anajiita KINGUNGE aka Mkusanya kodi za parking barabarani na kituo cha ubungo kakimbia... kwa ufupi MAFISADI WOTE WANATETEMEKA.....wakisikia MAGUFULI.... WANATETEMEKA!
Hao mafisadi walikuwa ndani ya chama gani???hivi mnajua nyie manyang'au wa ccm hamna akili hata moja.??
 
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?

Aliokutuma mwambie aje mwenyewe na mtanyooka tu HAPA KAZI TU.
 
Back
Top Bottom