Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
Baada ya CCM kuona Mgombea wake wa nafasi ya Urais John Pombe Magufuli amekuwa akisema mambo Jukwaani tofauti ya wanachokubaliana, sasa Mgombea huyo anatumia hotuba alizoandikiwa kwenye mikutano yake ya Kampeni. Magufuli ataibadili CCM au CCM itambadili Magufuli?