Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Je kwa Tanzania hali ikoje? kwamba inaweza kutokea watanzania kuchochewa kufanya machafuko?Haya mambo huwa ni automatically kulingana na hisia za wananchi hasa inapi chagizwa na vitendo vya watawala au wataka madalaka, lakini kama kuna mfumo mzuri wa free& imbalance ambapo ni matokeo ya demokrasia hakutakuwa na kundi kubwa la kumsikiliza mchochexi yeyote.
Pia wananchi wanaoaswa kuwa na elimu ya kukitambua na kujiamini huku wakisimamia misimamo yao chanya.