Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Haya mambo huwa ni automatically kulingana na hisia za wananchi hasa inapi chagizwa na vitendo vya watawala au wataka madalaka, lakini kama kuna mfumo mzuri wa free& imbalance ambapo ni matokeo ya demokrasia hakutakuwa na kundi kubwa la kumsikiliza mchochexi yeyote.

Pia wananchi wanaoaswa kuwa na elimu ya kukitambua na kujiamini huku wakisimamia misimamo yao chanya.
Je kwa Tanzania hali ikoje? kwamba inaweza kutokea watanzania kuchochewa kufanya machafuko?
 
-Libya ile nchi iliyokuwa mfano kwa nchi za Afrika.
-Libya iliwahi kuwa nchi tajiri zaidi barani Afrika.
-Libya nchi iliyokuwa ikitegemewa katika bajeti ya AU.
-Libya ndo nchi pekee iliyowahi kuwekeza ndani ya bara la Afrika zaidi ya dola billioni 200 katika kipindi kifupi.
-Libya ndio nchi ambayo ilikuwa kimbilio la watu weusi wa nchi za Afrika Magharibi hasa WaNigeria katika harakati za kutafuta unafuu wa maisha.
-Libya ndio nchi iliyosaidia nchi za Afrika kupunguza gharama za kupiga simu, kutuma sms, na intaneti . Libya ilifanya hivyo kwa kununua satellite kwa niaba ya bara zima la Afrika kabla hapo nchi za Afrika zilikuwa nchi za ulaya mamilioni ya Euro kila mwaka.

Lakini toka kupinduliwa kwa utawala wa Muammar Gadaffi mwaka 2011 nchi ya Libya imebaki kuwa uwanja wa mapambano, soko la biashara haramu, huba ya vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Mpaka sasa June 2020 , Ndani ya ardhi ya Libya kuna majeshi ya Saudi Arabia, UAE, Misri , Qatar , Urusi na Uturuki kila mmoja akipambana kuweka kiongozi atakayeendana na maslahi yao.

Hili ni funzo kwa nchi za KiAfrika kuwa makini sana na ushauri wanaopokea kutoka nje, miaka 10 tu iliyopita wananchi wa Libya waliishi kama wafalme.

1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.

Libya kabla ya kifo cha Gadaffi .....

View attachment 1486154View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158
Libya baada ya Gadaffi

View attachment 1486160View attachment 1486161View attachment 1486162View attachment 1486163View attachment 1486164View attachment 1486165View attachment 1486166View attachment 1486167View attachment 1486168
Muammar Gaddaf alistahili yale yaliyo mkuta, na kila mtu anakula chumo la mikono yake na Qiyama kila nafsi itahesabiwa na kupewa haki ha haitadhulumiwa nafsi yoyote hata kiwango cha chembe ya Khardali.

Mola aliye juu atusamehe.
 
Kila ikikaribia uchaguzi mkuu tz mnaleta hizi adithi, aacha vitisho, ugaganizi wake wa madaraka ndio uliifikisha nchi hapo, kwa maana nyingine watawala ndio waalibifu wa nchi wanazotawala wanajisahau mno.
 
Yote haya naayajua kama ni ceremonial leader unahisi yeye pekee ndio anasifa zote zakua hapo alipo zaidi ya miaka 40 kuliko raia wote wa UK zaidi ya 50M ?!
Swali halijajibiwa hili.

Maana kama ujerumani ceremonial leader ni rais, na uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka mitano,

Wagombea kibao wa binafsi na wavyama wanashiriki kugombania urais, Mfano mwaka 2017 wagombea walikuwa watano.

Mwaka 1960 northern ireland ilitaka kujitenga kwenye ufalme hasa wakatoriki ambao ndio wengi, baadae jeshi la uingereza lililo chini ya malkia likapelekwa na vita vikaisha 1998.

Sasa kama hali kama hiyo ufalme una tofauti gani na gadafi.
 
Swali halijajibiwa hili.

Maana kama ujerumani ceremonial leader ni rais, na uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka mitano,

Wagombea kibao wa binafsi na wavyama wanashiriki kugombania urais, Mfano mwaka 2017 wagombea walikuwa watano.

Mwaka 1960 northern ireland ilitaka kujitenga kwenye ufalme hasa wakatoriki ambao ndio wengi, baadae jeshi la uingereza lililo chini ya malkia likapelekwa na vita vikaisha 1998.

Sasa kama hali kama hiyo ufalme una tofauti gani na gadafi.
Swali langu hawataki kulijibu wanasahau hata ISRAEL kuna rais ceremonial leader na kuna waziri MKUU ambae ndio anaisimamia nakuiendesha nchi ila Kunakua nauchaguzi wakumpata rais kila baada yamiaka fulani ila ukiwauliza kuhusu MALKIA wanakupiga chenga

MALKIA ni DIKTEITA tu Kama hao MADIKTEITA wengine.....
 
uchochezi huu, picha za baad aya dadafi zimepigwa uswazi mbona.

anyway gadaffi ndio kafanya nchi iwe hapo alipo, alitaka kujifanya mfalme
 
Swali halijajibiwa hili.

Maana kama ujerumani ceremonial leader ni rais, na uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka mitano,

Wagombea kibao wa binafsi na wavyama wanashiriki kugombania urais, Mfano mwaka 2017 wagombea walikuwa watano.

Mwaka 1960 northern ireland ilitaka kujitenga kwenye ufalme hasa wakatoriki ambao ndio wengi, baadae jeshi la uingereza lililo chini ya malkia likapelekwa na vita vikaisha 1998.

Sasa kama hali kama hiyo ufalme una tofauti gani na gadafi.
Uingereza ni Monarchy, haiongozwi na rais bali Mfalme au Malkia ambaye ndiye Monarch.

Constitutional Monarchy kama ilivyo Uingereza ni mfumo wa utawala wa Kifalme wenye kusimamiwa na bunge. Kila kinachofanyika ndani ya uwezo wa kiti cha Ufalme kilikwisha kuidhinishwa na bunge hapo zamani. Muda wa kukitumikia kiti hicho kama Monarch (Head of State) ulikwisha idhinishwa na bunge.

Kuna mataifa kama vile Ufaransa ambayo ilikuwa nchi ya Kifalme hapo kabla lakini Ufalme wake ukaanguka. Kwa upande wa Uingereza, bunge la Uingereza ndilo lililouweka Ufalme wa Uingereza mpaka sasa baada ya vita vya muda mrefu vya wenyewe kwa wenyewe. Kama ni suala la kuufuta huo Ufalme lingekuwa limekwisha fanyika muda mrefu.

Majeshi yanaapa kwa Head of State, hiyo ni formality ya Constitutional Monarchy. Linapokuja suala la majeshi kuingia ama kwenda vitani au katika operesheni mbalimbali za kijeshi za kimataifa ni suala la kibunge chini ya Waziri Mkuu ambaye ndiye mkuu wa serikali ya Uingereza.

Waziri Mkuu pia hafanyi maamuzi binafsi. Maamuzi yake kuhusiana na suala la majeshi na vita hutokana na bunge la serikali anayoiongoza. Waziri Mkuu sambamba na Wizara ya Ulinzi yenye dhamana ya kuyasimamia majeshi ya Uingereza hufanya maamuzi kutokana na kura za wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi.

Malkia kama Head of State hatoi amri kwa majeshi kama atakavyo yeye. Bunge ndilo linaloshauri kiti (Crown) kupeleka majeshi vitani na si vinginevyo. As a formality, Malkia ana approve. Kinyume na hapo ni kusababisha mgogoro wa kikatiba ambao utapelekea kutokea kwa yale yaliyoikumba Uingereza zamani sana kipindi cha King John na Mfalme Charles wa kwanza.

Huo ndio utofauti wenyewe na isitoshe swali hili nilikwisha kulijibu hapo awali humu humu jukwaani, labda kama kuna swali la nyongeza.
 
Swali langu hawataki kulijibu wanasahau hata ISRAEL kuna rais ceremonial leader na kuna waziri MKUU ambae ndio anaisimamia nakuiendesha nchi ila Kunakua nauchaguzi wakumpata rais kila baada yamiaka fulani ila ukiwauliza kuhusu MALKIA wanakupiga chenga

MALKIA ni DIKTEITA tu Kama hao MADIKTEITA wengine.....
Who is a dictator? What is a dictator?
 
-Libya ile nchi iliyokuwa mfano kwa nchi za Afrika.
-Libya iliwahi kuwa nchi tajiri zaidi barani Afrika.
-Libya nchi iliyokuwa ikitegemewa katika bajeti ya AU.
-Libya ndo nchi pekee iliyowahi kuwekeza ndani ya bara la Afrika zaidi ya dola billioni 200 katika kipindi kifupi.
-Libya ndio nchi ambayo ilikuwa kimbilio la watu weusi wa nchi za Afrika Magharibi hasa WaNigeria katika harakati za kutafuta unafuu wa maisha.
-Libya ndio nchi iliyosaidia nchi za Afrika kupunguza gharama za kupiga simu, kutuma sms, na intaneti . Libya ilifanya hivyo kwa kununua satellite kwa niaba ya bara zima la Afrika kabla hapo nchi za Afrika zilikuwa nchi za ulaya mamilioni ya Euro kila mwaka.

Lakini toka kupinduliwa kwa utawala wa Muammar Gadaffi mwaka 2011 nchi ya Libya imebaki kuwa uwanja wa mapambano, soko la biashara haramu, huba ya vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Mpaka sasa June 2020 , Ndani ya ardhi ya Libya kuna majeshi ya Saudi Arabia, UAE, Misri , Qatar , Urusi na Uturuki kila mmoja akipambana kuweka kiongozi atakayeendana na maslahi yao.

Hili ni funzo kwa nchi za KiAfrika kuwa makini sana na ushauri wanaopokea kutoka nje, miaka 10 tu iliyopita wananchi wa Libya waliishi kama wafalme.

1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.

Libya kabla ya kifo cha Gadaffi .....

View attachment 1486154View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158
Libya baada ya Gadaffi

View attachment 1486160View attachment 1486161View attachment 1486162View attachment 1486163View attachment 1486164View attachment 1486165View attachment 1486166View attachment 1486167View attachment 1486168
Arab League wametulia kimyaaa
 
Wa Tz bora tuendelee kunekana mazezeta na CCM yetu potelea mbal
Tanzania chini ya CCM ni tofauti na ilivyokuwa
Libya. Ukifuatilia figure za GDp tu utaona utofauti.
Watu walikuwa na maisha mazuri hela ziko hata kama unakosa kazi ila uhakika wa kuishi comfortable ulikuwepo.

Shida ni mamluki waliopandikizwa kuja kujaza chuki raia kwa kuwahadaa kuwa life was more better than that in case wakiwa na demokrasia ya kuchagua na kuondoa raisi.
 
Ndo wakome,na bado hiyo ni trailer tu.waliyataka wasilie wavumilie tu ,nawapambane na Hali zao.
 
Umenikumbusha ile movie 13 Hours:The secret soldiers of Benghazi
Nipo nairudia hapa leo, kitambo sijairudi 👇

PXL_20240331_173248111.jpg
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
UK napo ni afrika?
muhanga wew
 
Back
Top Bottom