hatimaye lawrence masha amechiwa kutoka gerezani baada ya jana kuwa amekosa dhamana
pale mahakam ya kisutu ,hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande...
Lakini mchana huu (wa tare 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubilia mashtaka yake.