Hata KMC pale Kaseja ni namba mbili. Hii inamaliza ubishi kwamba baada ya Kaseja wa enzi za Simba, golikipa bora aliyefuatia ni Aishi Manila, kuanzia wa Azam hadi sasa wa Simba. Hakuna cha Kaseja wa KMC, Kakolanya wala Metacha, hajatokea mwingine zaidi ya Aishi, hata akiumia akapumzika bado ni Tanzania One