Hatimaye Kaseja atemwa timu ya Tanzania kwenda CECAFA

Manula ni pazia tu, Beno akiwa na match fitness ni mzuri kuliko Manula.
 
Aisha Manara hamna kitu pale, anabebwa na wanazi simba tu. Tena mechi za nje ndiyo anaboronga ile mbaya, yetu macho tusubiri muda utaongea.
 
Manula ni pazia tu, Beno akiwa na match fitness ni mzuri kuliko Manula.
Manula karuhusu mabao mawili tu Kati ya matatu katika mechi za ligi zaidi ya saba. Kakolanya aliruhusu mabao mawili katika mechi moja tu ya Ngao ya Hisani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…