Hatimaye utumishi wa Mnadhimu mkuu wa JWTZ Lt. Gen A. Shimbo unategemewa kukoma leo baada ya kufikia umri wa kustaafu. Tunamtakia kamanda mapumziko mema huku tukimtaka atafakari mchango wake kwa taifa hili la kimaskini hasa katika miaka hii 5 aliyoshika wadhifa huo.