Nilijua tu. Ameona dhouruba kali ya M4C ambayo ilikuwa inamnyima usingizi, hasa akifikira baada ya muda wake atakuwa raia tu wa kawaida!
aiseee babaangu hiyo barua yetu imekwenda ikuli gani hiiii ya magogoni au ikulu nyingine??? manake ikulu ya magogoni siiamini hata kidogo wanaweza sema imepotei barua yetu