C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,753
Moja ya mikakati aliyotangaza MH. Kikwete baada ya kuingia ikulu ni kuitoa nchi mahala ilipo na kuifikisha mahali pengine! Je unajua kama ameshalitimiza hilo? Ame2toa kutoka mchele kilo 1 tsh 800 hadi 2500,nyama 2500 hadi 6000,kiberiti 20 hadi 150,sembe 250 hadi 1200,kutoka kuwa na ndege 11 za ATCL hadi ndege 1 mbovu,hii ndo