Alaf kibayazaidi balozi hajui hata national simbal na Lisu akampa darasa kidogo
Akimwambia kwamba serikali sio taifa, rais sio taifa Bali wananchi ndio taifa
Ebu tujikumbushe composition of the national
1. Pesa
2. Mipaka
3. Wananchi
4. Nyimbo ya taifa
5. Bendera ya taifa
Ila serikali ni kikundi cha watu wachache kinacho ongoza taifa kwa msaada wa katiba na sheria zake akiwemo na rais pia.
Nimekumbuka 4m1 asee!! Wakati balozi wetu hivi vitu havijua akabaki mdomo wazi.
Akimwambia kwamba serikali sio taifa, rais sio taifa Bali wananchi ndio taifa
Ebu tujikumbushe composition of the national
1. Pesa
2. Mipaka
3. Wananchi
4. Nyimbo ya taifa
5. Bendera ya taifa
Ila serikali ni kikundi cha watu wachache kinacho ongoza taifa kwa msaada wa katiba na sheria zake akiwemo na rais pia.
Nimekumbuka 4m1 asee!! Wakati balozi wetu hivi vitu havijua akabaki mdomo wazi.