Game Theory I
Member
- Nov 28, 2011
- 32
- 8
Heshima mbele,
Nimekuwa nikiangalia matumizi ya social networks kwa Salva na timu yake ya kina Michuzi naona wameanza kuamka kama sio kukumbuka shuka wakati kunakucha. Kuanzia matumizi ya blogs, facebook na twitter jamaa wameonyesha kitu. Maswali yangu ni haya kwa bwana salva, premi kibanga na timu yako:
1. Mbona account ya twitter ya jk ina-follow mtu mmoja tu? Je inawapuuza followers? Hapo kuna 2 ways communication?
2. Mnayatumia vipi maoni ya wananchi mtandaoni?
3. Lini mtafungua kiji-account cha Ikulu hapa JF? (najua huwa mnachungulia kwa kuibia ibia).
Nimekuwa nikiangalia matumizi ya social networks kwa Salva na timu yake ya kina Michuzi naona wameanza kuamka kama sio kukumbuka shuka wakati kunakucha. Kuanzia matumizi ya blogs, facebook na twitter jamaa wameonyesha kitu. Maswali yangu ni haya kwa bwana salva, premi kibanga na timu yako:
1. Mbona account ya twitter ya jk ina-follow mtu mmoja tu? Je inawapuuza followers? Hapo kuna 2 ways communication?
2. Mnayatumia vipi maoni ya wananchi mtandaoni?
3. Lini mtafungua kiji-account cha Ikulu hapa JF? (najua huwa mnachungulia kwa kuibia ibia).