Yakuza
Senior Member
- May 22, 2011
- 114
- 43
Akhsante kwa kuzidi kuthibitisha kwamba PhD za Watanzania baadhi ni za hovyo hovyo kama ambavyo Wewe pia ni wa hovyo hovyo. Na Wewe nahisi utakuwa na PhD ya kujua tu Kuflashi mimavi yako Chooni. Siku nyingine ukijua unataka kukabiliana na GENTAMYCINE ambaye hata sina Elimu kubwa kama yako hiyo ya PhD uwe unajipanga vilivyo hasa Kihoja kwani Zawadi ya Kipekee niliyopewa na Mwenyezi Mungu na ambayo pia inanipa Kiburi na Jeuri popote pale ni Akili / Uwezo mkubwa wa Kufikiri na kwa hii IQ yangu kubwa niliyonayo wala sioni na sijaona haja ya Mimi kwenda kufanya PhD kama yako.
Halafu acha kuwa Mpumbavu japo una hiyo PhD yako nimesema vizuri kabisa hapo juu kwamba Watanzania baadhi wenye PhD na sijasema Watanzania wote wenye PhD sawa? Tena achana kabisa na Mimi ili nisiendelee Kukudharau na najijua mwenyewe jinsi nilivyo na nadharau.
Hopeless kabisa Wewe!
Come this time 2020, all simple cartoons like you shall have been reduced to almost none. Under the strong Presidency of His Excellency The State President, The Right Hon. Dr. JPM, Tanzania is changing to the better. Whether you like or not. I am afraid, people of your type and who have ramshackle thinking shall not be accommodated.
Alas, Mr. Walking Copse!