Ilikuwaje Halima hakuweza kutumia IQ yake ya 'kutukuka' kuuelewa ule usemi, "mtu anayetumia fedha kwenda Ikulu muogope kama ukoma"Hoja yangu ni IQ ya Kutukuka ya Halima Mdee dhidi ya mmiliki wa PhD wa pale MAELEZO na sijazungumzia hapa suala la Kawe. Sasa nimegundua na kujua ni kwanini Watanzania wengi huwa mnafeli Mitihani yenu huko Shuleni na Vyuoni kwani huwa mnakurupuka kuliko kujibu kile ambacho mnatakiwa kukijibu.
PhD ni permanent head destruction wengi Wenye PhD akili zao hazipo sawa wapo bize na makaratasi kuliko familia yake, Wengi hawana furaha sijui waliosoma wakilenga kitu gani? Nilitegemea elimu yao ilete mabadiliko na wawe mfano lakini vichwani weupe, Wengi anasubiri miradi na pesa za wazungu ili waishi, Almost PhD za watanzania ni Sifuri tutafute msamiati wa kuwakejeli hawa PhD holder wa Tanzania, Wanalitia aibu taifaHoja yangu ni IQ ya Kutukuka ya Halima Mdee dhidi ya mmiliki wa PhD wa pale MAELEZO na sijazungumzia hapa suala la Kawe. Sasa nimegundua na kujua ni kwanini Watanzania wengi huwa mnafeli Mitihani yenu huko Shuleni na Vyuoni kwani huwa mnakurupuka kuliko kujibu kile ambacho mnatakiwa kukijibu.
...Umeelewa mada kweli? Au tayari umeshapuliza hicho cha Arusha?Mungu apishilie mbali...huyu anavyokicha cha ARUSHA hata JAMAICA ambako hicho kitu kinatumika kama mboga hawezi kupewa ujumbe wa nyumba kumi....KAWE wanajuta,kulia na kusaga meno...
UMECHAMBUA VIZURI SANAAAA.....KWA WATU AMBAO TUNAMILIKI AKILI ZETU WENYEWE...NAKUPONGEZA SANA GENTAMYCINE
Hujaeleweka, wajuzi ni nani
Nikichukua maelezo ya mwenye PhD yake aliyoyatoa hivi majuzi tu halafu nilivyomsikia jana Halima Mdee akichambua Kiutaalam na Kiumakini kabisa masuala ya Kiuchumi kwa Tanzania naona au nadhani inabidi Yule Mtu wa juzi ambaye kiuhalisia ni mmiliki wa Shahada ya Uzamivu ( PhD ) basi angempa tu hiyo PhD yake Halima Mdee halafu na Yeye akabaki na Elimu ya Mdee.
...
Naamini kwamba message sent and delivered.
Nawasilisha.
Huyo nripokaji wa juzi sijamjua mkuu, weka wezi.au unaogopa kutekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongo wako wewe sisi kule kawe hatulii wala nn ,sana sana huwa kunawekwa figisu ili wa upinzani aonekane hafanyi kazi Halima katupambania mpaka kule Chasimba tumepewa Hati zetu kule Kunduchi hakubomolewi tena.. hehehe mtu uko huko keko magurumbasi hata hupajui Kawe unasemea wana kawe hehehehe shindwa na ulegeeMungu apishilie mbali...huyu anavyokicha cha ARUSHA hata JAMAICA ambako hicho kitu kinatumika kama mboga hawezi kupewa ujumbe wa nyumba kumi....KAWE wanajuta,kulia na kusaga meno...